I need advice from zoom

Nyam

Senior Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
134
Reaction score
72
Ningependa kupata ushauri kutoka Zoom,mimi npo chuo kikuu ndo naingia mwaka wa 3 nasomea Business Administration in Accounting, session ya jioni,je kama tangazo la kazi limetoka linamtaka mtu mwenye Diploma na me sina Diploma naweza kuapply nikapata?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…