mmmhhhh bwana we huna masharti magumu????
maana mi kuishi na masharti siwezi ndugu yangu hahahahhaahahahhah lol
Don't walk in front of me, I may not follow.
Don't walk behind me, I may not lead.
Just walk beside me and be my friend.
l.o.l.....
hahahahahaahahah lol
hayo masharti marahisi sana
ntaeza ishi nayo...
i guess we gona be great friends.....
Nataka marafiki wa kike na kiume..Umri wangu 43,Tall 6'1,white color,(mweupe).Strong..Naomba walio serious na wakweli
:whoo::hail::drum::cheer2::amen:
Ndo celebration za kuwa marafiki zimeanza???:angel:
never had a friend b4
ooohhh im so sorry to hear that.....
i guess i have got a lot of work to do....
to make you feel comfortable wit me...
promise you we gona have a great time together ....
hahahhahahahahah lol
lookin mbele for that! ahhahaaa! get together ya sisi lini sasa aaahhha l.o.l
hahahahah lol me to . im looking forward for that day...lol
sasa ngoja nikuachie wewe kazi ya ku organise where and when......
kwa sababu wewe ndo mtaalum wa mitaa......
hiyo mitaa ya jf au.......
Sister/Brother you are not serious, otherwise you couldhave shown your gender as you did on your length and age, ukitaka watu wa kweli unapaswa uonyeshe u jinsi ipi elimu yako, kazi yako, nkNataka marafiki wa kike na kiume..Umri wangu 43,Tall 6'1,white color,(mweupe).Strong..Naomba walio serious na wakweli
yeyote ile haijalishi...
ilimradi tukutane...... au vipi??
chukua daladala yoyote ya sinza shukia kwa bibi nyau...........rudi nyuma utakuta makaburi.....utakuta moja lime pakwa chokaa mpya kunja kushoto halafu nipigie....!!! ahhahhhaa l.o.l
hahahahahahahahahhahahahah
nimecheka mpaka kifua kinabana .........
you so funny......
hahahahahhaahhah bibi nyau ndo nani???
im haveing a great day 2day ......
kituo cha daladala hicho mwana kwetu!......kufika mpaka uwe na balance kuna daraja la mti ukipiga hatua moja ya pili lazima iwe mbele any mistake you go down......sio masaki kule ati!
kituo cha daladala hicho mwana kwetu!......kufika mpaka uwe na balance kuna daraja la mti ukipiga hatua moja ya pili lazima iwe mbele any mistake you go down......sio masaki kule ati!
hahahahahahaahahha lol
kweli unanichekesha sana leo..
sasa si borea tuende mahali pengine.....
maana mi hata huko sinza sipafahamu.....
kwa kweli hii itakuwa date moja kali sana....
mmmmmmmmmhhhhhhhhh Hashycool wewe sikuwezi ....
yaani unavituko hahahah lol