ninajivunia kwetu,,,na nisinge penda nikupeleke date ya kwanza sijui wapi huko ma lami hadi sebuleni...... so come here and walk with me in the streets of sinza kwa bi nyau!
Mkuu huko kwenu hakuna walevi na kama wapo wanavukaje hilo daraja.
Nataka marafiki wa kike na kiume..Umri wangu 43,Tall 6'1,white color,(mweupe).Strong..Naomba walio serious na wakweli
0715310932..Saa nne asub hadi saa 10 usiwe msumbufu na zingatia muda..Jinsia yanguMie nadinda..Maswali mengine next time
hahaaaaa haaaaa haaaaa huruma gani mnayozungumzia hapa? jamaa anataka rafiki huyo na mama big nae si alikua anatafuta?
We mimi nilikuwa natafuta rafiki toka lini....acha uzushi na pia nakutahadharisha kwa kunisingizia....yaelekea wataka kunusa wewe
Nataka marafiki wa kike na kiume..Umri wangu 43,Tall 6'1,white color,(mweupe).Strong..Naomba walio serious na wakweli