I Need more information on this Wanajamvi

Zeddicus

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2012
Posts
627
Reaction score
535
I have admitted by TCU at IFM..i'm going to parsue Bsc in insurance and risk management...hivi hii coarse kuna uwezekano wa mtu kujiajiri baada ya kumaliza?..na vipi kama ukiajiliwa ina maslahi?

I will appreciate your views..nawasilisha.
 
kuhusu kujiajili am not sure ila kuhusu kuajiliwa worry out hiyo ni dili sana coz mamifuko ya jamii yanawahitaji sana,we kakaze tu mjomba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…