I need to speek english frequently

I need to speek english frequently

How can improve english speeking for free at home
Give me a way to use
Angalia program za kiingereza, soma majarida ya kiingereza, jitahidi kila siku kuongea na watu wanaopenda kuongea kiingereza. Usione haya kuongea broken. Baada ya miaka miwili utakuwa mbali sana
 
Angalia program za kiingereza, soma majarida ya kiingereza, jitahidi kila siku kuongea na watu wanaopenda kuongea kiingereza. Usione haya kuongea broken. Baada ya miaka miwili utakuwa mbali sana
Asante kwa ushauli
 
Angalia program za kiingereza, soma majarida ya kiingereza, jitahidi kila siku kuongea na watu wanaopenda kuongea kiingereza. Usione haya kuongea broken. Baada ya miaka miwili utakuwa mbali sana
Apo kwenye program unamaanisha App za playstore au?
 
You already start, keeping practice
 
Mi Nimejifunza Na Nime Improve Sana.
Kilichonisaidia. Moja Ni Kusoma Vitabu, Hiki Ni Kitu Cha Msingi Sana Ukitaka Kujifunza Kiingereza!!, Soma Sana Vitabu,magazeti,majarida N.K so lazima viwe vigumu unaweza anza na zile short stories, ila zitakusaidia sana kwenye kujua mazungumzo baina ya watu wawili huendaje.
la pili, ni kuongea. wanasema practise makes perfect, ila ni ngumu kupata mtu wa kuzungumza nae ikiwa kampani yako siyo ya wasomi. mimi nilichofanya nilikuwa nasoma kwa sauti, yani kama ni kitabu nasoma kwa sauti na sio kimoyomoyo kama wengi wanavyofanya hii ilinisaidia sana kwenye matamshi na kujizoeza kutamka baadhi ya maneno ambayo ni magumu.
cha tatu ni kutazama movie zenye english subtitles hii ilinisaidia kujua maneno yanatamkwaje.

hivyo vitu vitatu vimenisaidia sana. zingatia na jaribu pia, natumai utafanikiwa..
 
U can improve your english speaking by using it daily
 
Back
Top Bottom