''I NEED WIFE" 24-27years kwa aliye tayari tu!

''I NEED WIFE" 24-27years kwa aliye tayari tu!

Joined
Dec 31, 2012
Posts
15
Reaction score
2
kwa waliyo tayari tuwasiliane mapema sana, matan sitak na mtoto wa kiume hii haikuhusu wala sihitaj ushar ni maamuz binafi!
 
Mimi naitwa MAIUMUNA MOHAMED wewe justin vipi nina nafasi HAPO????maana nipo nipo tu
 
mhm kijana hapa sio pakutafutia mke....hapa nikutafuta wa gud tym tuu. angalia utakuja bugi men!!!
 
ungechapisha tangazo ukapeleka pale corner bar-sinza ili tupunguze msongamano wa dada zetu pale (joke)
 
maisha ni safari ndefu na inayohitaji umakin sana na ktk yote yapo mambo ambayo ukibug tu, imekula kwako!
 
Ulivyo mkali naogopa hata kuandika mawazo yangu nisije haribiwa siku huku tayari saa 9 alasiri
 
ufinyu wa kufikiri ndiyo unakusumbua?

worry out justin, utapata mke mzur sana, it will happen here on jf...take my words as special quote. But also take heed coz we differ in a certain in terms of tabia zetu and waht people really need.

Good luck young man!!

 
usingemjibu hivyo kakushauri tu tena vizuri the choice is yours kuuchukua ushauri au kuuacha....kila la heri

Good Rich woman....!!good ,Ushauri mzuri sana for this "wee lad"(kijana mdogo).
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom