I never felt this way Before!

Mimi nilikwishawahi ambiwa hivyo tena na mwanamke ana watoto watatu kuwa nimemfikisha mahali ambapo hakuwahi kufikishwa kabla kwa raha na siku nimeachana nae akatoka na kashfa kuwa nilikuwa simfikishi na sasa kapata mtu anaemkuna ipasavyo,KUWA MAKINI.
 
kama kawaida kiiivyo inatosha, bofya kwengine nawe upate 'like never before...'

Oh nitajitahiadi mkuu, ngoja niongeze mwendo!
 

ha ha ha haaa!

Hawa watu ni balaa...!
 

Ah, huyo ni wale wale SIZITAKI MBICHI HIZI... Tatizo lenu mkiiba mnahamia, kamua tambaa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…