I propose Uporoto01's Wife for 'Woman of the Month' award.

I propose Uporoto01's Wife for 'Woman of the Month' award.

Diana-DaboDiff

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2009
Posts
376
Reaction score
19
Mume wako anakwambia alizaa na mke wa mtu ambaye alikuwa EX wake,unakubali kumsaidia kumpeleka mtoto hospitali na kusaidia mahitaji.Unapanga kumtafutia kazi mama huyo ili aweze kumtunza mtoto wake na kuwasaidia wakikwama.Huyu dada ni wakusifiwa sio kama walivyosema wengine eti kama hataki kulea mtoto aende zake,nawakilisha hoja.
 
Mume wako anakwambia alizaa na mke wa mtu ambaye alikuwa EX wake,unakubali kumsaidia kumpeleka mtoto hospitali na kusaidia mahitaji.Unapanga kumtafutia kazi mama huyo ili aweze kumtunza mtoto wake na kuwasaidia wakikwama.Huyu dada ni wakusifiwa sio kama walivyosema wengine eti kama hataki kulea mtoto aende zake,nawakilisha hoja.


sawa DD, lakini angalizo tu, ni kwamba aliza naye KABLA hata hajamuoa huyo mkewe wa sasa. tuendelee

halafu kwa kufanya haya yote, anayafanya kama binadamu mwengine yeyote ambaye ameguswa, mimi binafsi hili limenigusa, na nadhani linapaswa likuguse pia....kusaidia ni Human......
 
duh... Kaizer na FP mmeipotezea thread kinamna
 
Back
Top Bottom