I realised my husband was my dad!

Walificha siri soma vizuri utaona
 
Hii hata kwenye maandiko ya vitabu vya dini ni kosa kubwa,kiroho lazima litamuumiza sana,litadhuru hata watoto mpaka wajukuu.Ili awe salama anatakiwa kufanya toba itakayoweza kumtenganisha na hayo makosa...
 
Nimecheka sana hapo kwenye siri ya giza, mkuu kwani kuna haja ya kutafsiri kila neno?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizi code za Kiswahili hiki, waliingiza Kiswahili cha Nairobi nini ?

Yaani unakuwa kama unasoma lugha nyingine kando yenye kufanana na Kiswahili. Maana hata Sarufi ya Kiswahili siioni humo. Wanazidi kutuchanganya.

Inaboa..Kama anavyoandikagaa cocochanel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…