I salute u WILLIAM MALECELA,,LE MUTUZ,,Much Respect,,!!!!!!!!!!

Either his IQ is too low or too high to understand the difference between kushangaliwa na kushangiliwa. Could be anything, sweetheart!
I like this man for sure he speak his mind na ata atukanwe vp he Still manage to control his tempor
 
Le mutuz tatizo lake misifa inamchanganya,,,subiri atakuja na singo ya kujifagilia
 

Unaweza kuwa na tabia ya kujipendekeza kwa viongozi na matajiri kama Le Mutuz?
 
Le mutuz tatizo lake misifa inamchanganya,,,subiri atakuja na singo ya kujifagilia[/QUOT
Hana sifa ila anazungumza ukweli.......by the way sifa zake ndizo zinazonikosha
 
kwakuwa mimi sijaelewa ngoja nipite tu
 
Mbona me sipati hizi zali? Ngoja niweke mali zangu hadharani sasa..
 
Kweli jamaa yupo flexible ila ndio hivo huwezi jua ya moyoni mwake. Kwangu mimi huwa naharibu tu @W.J.Malecela.
 

we mama yako bora angezaa mkate,kisha agawie manesi wanywee chai..kuliko kuzaa hasara km we
 
Nawe unataka uishi kwa baba hadi upate wajukuu, kiaka 60 ule ugali wa shikamoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…