Nitahamia uko ila nitakuwa mchangiajiKaribu kwenye jukwaa la siasa tujenge nchi
Natimiza kiapo kuanzia sasaShost nawe,tatizo huwa hutimizi viapo...
😘😘 Ila ungemsamehe aliyekufanya uamue IvoNatimiza kiapo kuanzia sasa
Eh nimetishiwaYani unaanzisha Uzi ili kusema kua hutaanzisha Uzi!
Kanitishia nipo serious😘😘 Ila ungemsamehe aliyekufanya uamue Ivo
Achana nae huyo bhanaKanitishia nipo serious
Watu wamechojoa na kutokomeaHapana kama rungu i am serious
Umeeleweka,Hapana kama rungu i am serious
HahahahaHapana kama rungu i am serious
Hahahaha we nae ni mzembe unaachaje kukalili namba ya mpenzi wako?Pole dada.
Kutendwa kwenye mapenzi ni jambo la kawaida. Mimi Bwana Pendapenda ndiyo nina mkosi kabsaaaa!!. Kila mwanamke ninayeanzisha naye mahusiano baada ya siku 2 tu ananifungia vioo, namba zangu wanafuta na meseji hawajibu.
Mbaya kuliko zote juzi kati kuna mwanamke kaniomba simu yangu halafu akafuta namba yake. Akaniambia "namba yangu nimeifuta kwenye simu yako, halafu tuone kama utanisumbua"
Hahahaha dah😂Umeeleweka,
Kwani alikubaka?