<br />kaizer<br />
mimi natabiri utaanzishiwa thread hapa mda si mrefu....<br />
But usishangae ukakuta sio husninyo...lol
<br />
<br />
Dada yangu labda mara ya kwanza nilikosea ndio maana wakaitoa, kama nimekosea naomba mniwie radhi
kaizer
mimi natabiri utaanzishiwa thread hapa mda si mrefu....
But usishangae ukakuta sio husninyo...lol
hujatukwaza
hebu kwanza tuambie hasa kilichokufanya ujiskie unampenda ni nini? Au kama kuna sentensi yake moja hivi unayoikumbuka tuambie :]
Hii nayo mida yake inahesebika!!
Sasa huyo TF naye yuko wapi??? Hajui kwamba bahati haiji mara mbili??
MJ1, LD, Asprin, RR, St....Please niletee huyo mjuu aje akaone jinsi alivyobarikiwa na kutunukiwa leo, tena mchana kweupeee!!!
wote waliochangia humu
umeni pick mimi wa kunitukana na kuniita
nina kimbelembele sio?????????
Watch urself and watch ur mouth....
Usidanganyike kuwa uko mbali
some of us are capable of anything....
Hata ikibidi nitumie milioni kumi kukumata
na kukuonyesha exactly mimi ni nani...
Carefull
<br />
<br />
tunajiamini sana. Si umeona jux anawakilisha. Lol.
mmh....Mbona we mwenyewe hujiamini....:coffee:
<br />
<br />
hujaona thread langu nililomzimia desh desh eeh?
<br />
<br />
siwezi kuwa mimi. Mi nishamzimikia desh desh na sredi ipo hewani.
<br />Hujatukwaza <br />
<br />
Hebu kwanza tuambie hasa kilichokufanya ujiskie unampenda ni nini? Au kama kuna sentensi yake moja hivi unayoikumbuka tuambie :]
Nimekuwa nikisoma post zake mara kwa mara kipindi bado nikiwa guest kwa kweli post zake zinanivutia sana anaonekana yuko so charming pia na michango yake kwenye majukwaa mengi
<br />Mkuu huu ni uhuru wa maoni.<br />
Tazama pia jinsi ulivyokoment kwangu, mbona mi sijachukia.<br />
Sasa mambo ya kutishiana yanakujaje tena.<br />
Well, am out. Siwezi endeleza malumbano.
<br />
<br />
Nimekuwa nikisoma post zake mara kwa mara kipindi bado nikiwa guest kwa kweli post zake zinanivutia sana anaonekana yuko so charming pia na michango yake kwenye majukwaa mengi
Jux sijui ni kwa nini kila nikisoma unavoandika, nasikia sauti kama ya mdogo wake TF? dah...
<br />
<br />
Mkeshaji na The Boss sio vizuri kulumbana kaka zangu
<br />
<br />
siwezi kuwa mimi. Mi nishamzimikia desh desh na sredi ipo hewani.
Kuna watu wanadhani wanamiliki hii forum kiasi kwamba mtu mwingine ukichangia ishakuwa tabu.
Well, am leaving this forum to the "owners".
Dume zima kususa ndo nini!!
Acha kujishuku
Hehehe nikisema unacho tuhumu wewe jee nitasalimika na ban kweli?
Usinilazimishe kulumbana!