Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
<font size="4"><span style="font-family: century gothic">Kapenda KH! Bora asiumie roho yake na aweke jitihada zaidi za kumnasa mhusika.<br />
<br />
</span></font>/QUOTE]<br />
<br />
Hata nami nimeona BAK. Sikujua kumbe waliifunga. Namtakia kila la heri .
<br />Dah!!!!!!!
Dah!!!!!!!
Hongera tafadhali jua namna ya kudili na hyo do not depress her.hahaha dogo msredi una page nane hizi halafu unamalizia mambo PM inakuwaje....ama unamfahamu Jux? lol
What are you waiting for express your feelings kama Jux alivyo-express feelings zake kwa The Finestnakuunga mkono ndugu, maana hata mm kuna member nampenda humu ndani sema ndiyo hivyo. sielewi kama ni mwanaume au la!
Hahaha!!! The Boss....labda The Finest kafanyaje???mimi nna wasiwasi huyo mods ni wa kike na labda the finest............
Malizia hapo.lol
Nimetokea kumpenda member wa hapa JF anaitwa The Finest ila tatizo ni kwamba simjui sielewi labda inawezekana akawa ni mume wa mtu vile vile ila kiukweli i have feelings for him ila sijui nianzeje
<br />hahaha dogo msredi una page nane hizi halafu unamalizia mambo PM inakuwaje....ama unamfahamu Jux? lol
Mmhh....morio umenichekesha kweliMmmmhhhh all da best, akiwa mume wa mtu mfanye 'just friend'. Kuna mkaka humu JF yaani ningeweza ningemlink na my hommie coz ni full mashauzi nilipitia comments zake kwenye thread ya member anatafuta jiko! Was like dah huyu naye .................
Jamani King'asti wewe
wote waliochangia humu
umeni pick mimi wa kunitukana na kuniita
nina kimbelembele sio?????????
Watch urself and watch ur mouth....
Usidanganyike kuwa uko mbali
some of us are capable of anything....
Hata ikibidi nitumie milioni kumi kukumata
na kukuonyesha exactly mimi ni nani...
Carefull