LightYagami
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,825
- 1,493
List hayo maneno ya mtaaniLong time ngeta inatumika huku kwetu. Pengine tunge list maneno ya mitaani yanayotumika Nairobi na Dar es Salaam,ili kujua lugha zetu za mitaani zinashabihiana kwa kiasi gani.
1. Mishemishe (hustling)List hayo maneno ya mtaani
Hao vijana huniacha hoi, viatu vikubwa ππ Chalii ya R kwanza dogo ana janjajanja za kinyang'au vile!Hebu wafuatilie machali wa Chuga Arusha kwenye Youtube, hutumia sana maneno ya sheng...hehehe
1. Mishemishe (hustling)-Janta, Mraa1. Mishemishe (hustling)
2. Ngwala (mtama)
3 Bata (party)
4. Demu (chick)
5. Papuchi(PUSSY)
6
7