Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda uniloge na ndugu zangu watanikomboa tu[emoji12]Ukinitongoza tu, lazima unioe
Hakuna boundaries kati ya kuku na mwewe. Hafu watu mnaokazaga kama wewe ndio hua very simple kuwaWinBoundaries zimezingatiwa
Akiniletea anasubiri nje dakika 30 naoga, kuna mahali ananipeleka....hata ukimpa elf 10 akupeleke hakubali atakuambia "kuna mteja wangu anamsubiria" 🤣🤣Don't tell me🤣🙌
Huku kwetu Boda wa familia alishazoea kukaa nje kusubiri wenzie wakipita wanamtaniaAkiniletea anasubiri nje dakika 30 naoga, kuna mahali ananipeleka....hata ukimpa elf 10 akupeleke hakubali atakuambia "kuna mteja wangu anamsubiria" 🤣🤣
hawezi kuwa mchepuko huyo angalia pozi lake la picha.. ana kaaibu usoni kwake. huwez ukawa umeuona uchi wa mwanamke afu uone aibu wakati wa kupiga picha.. angekua ameshachungulia ndani angevimba kwenye picha.Mbona hajaingia na honda kwenye ukumbi....
Huyo ni mchepuko mwenye vazi la bodaboda
Au unatoa kwa wakala then unamtuma akuletee nyumbani😂😂"nimempa bodaboda wangu kadi akanitolee pesa ATM" 😁