I wish I could take it back...

@Lizzy
tatizo lako ni spelling
nahene(not nahehe) - ndio
enhe - sawa, ila huwezi jibu mtu mzima enhe labda watoto na vijana wenzio.
Kama una adabu huwezi mwambia baba ako 'enhe'

Ohhhh owwkey.
Kwahiyo kiheshima ni nahene. . . na kishkaji enhe?
 
ndio, enhe kishkaji, nahene kiheshima.

afu enhe inatumika wakati mtu anakusimulia kitu
afu na wewe unaitikia enhe, ili aendelee kumwaga story.

Kama kiswahili unasimulia afu unaitikia ehee ili story ikolee. Si unajua mtu hawezi simulia story ndefu afu wewe uko kimya tu.

Ohhhh owwkey.
Kwahiyo kiheshima ni nahene. . . na kishkaji enhe?
 

Nahene mayo!
 

Thanks tena kaka.
Hapo kwenye red sio kwa manufaa yako tu, inaweza hata kufariji wakati mwingine
pia inakufanya urelax na kujua unatatua vipi tatizo lako.
Me like that!
 
Thanks tena kaka.
Hapo kwenye red sio kwa manufaa yako tu, inaweza hata kufariji wakati mwingine
pia inakufanya urelax na kujua unatatua vipi tatizo lako.
Me like that!

True
na wakati mwingine sio kila mtu ajue kuwa una matatizo
Unapambw ana uso wa tabasamu hata katika muda wa matatizo makubwa
Ila moyoni mwako unajua kuwa kuna nini kinachoendelea na unafanya kila njia kutafuta solution ya hilo tatizo
 
Thanks tena kaka.
Hapo kwenye red sio kwa manufaa yako tu, inaweza hata kufariji wakati mwingine
pia inakufanya urelax na kujua unatatua vipi tatizo lako.
Me like that!

Soma hii issue ya smile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…