I wish I knew this before

I wish I knew this before

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1601782948412.png
 
Ndiyo maana inashauriwa muwe marafiki kwanza kabla ya kuamua kuoana, binafsi nimejifunza kitu kimoja, kama ukiwa mko pamoja halafu hamuwezi kutaniania ujue hapo hamna kitu, ...
 
Tangu ulete ile mada yako ya kupendwa na mwanaume ambaye atakuwa tayari kuhudumia watoto wawili tena wenye Baba tofauti huwa nasoma posts zako kwa tahadhari kubwa.

Post #1 inadhihirisha labda upo deluded sana maana Ke na Me hawana common ground. Jaribu kupotezea cuckoldry pon labda utapata nafuu.
Tena watoto wa single mother unawasomesha English medium kabisa hakuna shida na wewe ukifanikiwa kupata wakwako sawa, usipofanikiwa wale unaowasomesha hawatakutupa.
 
Tena watoto wa single mother unawasomesha English medium kabisa hakuna shida na wewe ukifanikiwa kupata wakwako sawa, usipofanikiwa wale unaowasomesha hawatakutupa.
God forbid! Mioyo ya masingle mother ipo kama sumaku, mtu anaweza kuganda mzima mzima.

Uzuri huwa hawajifichi, stori mbili ya tatu atamzungumzia mwanaye ili ujue ni SM....hapo nafungulia turbo 1000 mph.
 
God forbid! Mioyo ya masingle mother ipo kama sumaku, mtu anaweza kuganda mzima mzima.

Uzuri huwa hawajifichi, stori mbili ya tatu atamzungumzia mwanaye ili ujue ni SM....hapo nafungulia turbo 1000 mph.
Hii inaitwa giving back to the society na Mungu atakubarimi.
 
Back
Top Bottom