Let you try me
Kwani wewe ulifata nini huko uliko kama sio haya?
Tangu ulete ile mada yako ya kupendwa na mwanaume ambaye atakuwa tayari kuhudumia watoto wawili tena wenye Baba tofauti huwa nasoma posts zako kwa tahadhari kubwa.
Tena watoto wa single mother unawasomesha English medium kabisa hakuna shida na wewe ukifanikiwa kupata wakwako sawa, usipofanikiwa wale unaowasomesha hawatakutupa.Tangu ulete ile mada yako ya kupendwa na mwanaume ambaye atakuwa tayari kuhudumia watoto wawili tena wenye Baba tofauti huwa nasoma posts zako kwa tahadhari kubwa.
Post #1 inadhihirisha labda upo deluded sana maana Ke na Me hawana common ground. Jaribu kupotezea cuckoldry pon labda utapata nafuu.
God forbid! Mioyo ya masingle mother ipo kama sumaku, mtu anaweza kuganda mzima mzima.Tena watoto wa single mother unawasomesha English medium kabisa hakuna shida na wewe ukifanikiwa kupata wakwako sawa, usipofanikiwa wale unaowasomesha hawatakutupa.
Hii inaitwa giving back to the society na Mungu atakubarimi.God forbid! Mioyo ya masingle mother ipo kama sumaku, mtu anaweza kuganda mzima mzima.
Uzuri huwa hawajifichi, stori mbili ya tatu atamzungumzia mwanaye ili ujue ni SM....hapo nafungulia turbo 1000 mph.
Corprate social responsibilityHii inaitwa giving back to the society na Mungu atakubarimi.
Mpango wa Mungu ni pamoja na kila mtu kulea bao lake.Hii inaitwa giving back to the society na Mungu atakubarimi.