IAAF World Athletes Of The Year Awards 2018: Wakenya Ni Watatu Kati Ya Kumi Bora Waliochaguliwa Kote Duniani

Hamjamaliza Ku ~vote?
Awards will be in two weeks time December 4. Siku ya mwisho ya kupiga kura ilikuwa Novemba 13. Finalist tano wa mwisho kwa tuzo la IAAF World Athlete of the year wameshatangazwa na kwa wanaume mkenya Eliud Kipchoge bado yupo. Kwa wanawake pia, Beatrice Chepkoech yupo kwenye orodha ya finalists. Hao wakenya wengine wawili hapo juu walitangazwa kama finalists pia, kwenye tuzo la 2018 IAAF World Rising Star Award, kwa wanariadha chipukizi U-20.
 
Hawa ndio waafrika wawili pekee yake, waliofanikiwa kuwa kwenye orodha ya finalist watano, kwa wanaume na wanawake pia. Kwenye tuzo za mwaka huu.
Beatrice Chepkoech. Eliud Kipchoge.
 
Kwenye tuzo za wanariadha chipukizi U-20, 2018 IAAF World Shining Star Award: Wakenya wawili wamefanikiwa kuwa kwenye finalist watano, kwa wanaume na wanawake pia.
Celliphine Chespol. Rhonex Kipruto.
 
Mkenya King David Rudisha alipopokea tuzo hilo kule Monaco, baada ya kushinda mwaka wa 2010. Tuzo lenyewe liliambatana na bonus ya kitita cha $100,000.
 
Juu alivunja record yake twin within a week.
Yep, thats the amount he got for breaking a 13 year old record, by another kenyan mind you, Wilson Kipketer, then breaking his own record a week later. Thats what earned him the athlete of the year award.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…