Ahadi ya kweli2017
New Member
- Oct 12, 2017
- 4
- 4
Ingekuwa sio sehemu sahihi kusingekuwa na love connect,kama huna vigezo alivyotaja ungepita tu😡Umekuja sehemu ambayo siyo sahihi Nadhan nenda badoo au andika google online dating in tanzaniaaa utapata machaguo meeeeengi .
hum utakutana na makamandaa mana hata picha asilimiaa kubwa sio zaoo ilaa huko kwa cite utapata machaguoo yako
HahaaaaaJamani hata mimi natafuta mpenzi wa malovidavi only. nina mke na watoto sharti ni moja tu asiwe mwanaccm au mlokole
Hahahahahahaumejaribu kucheki na kule Badoo??
umenicheka kwa lipi hasaHahaaaaa
Jamani hata mimi natafuta mpenzi wa malovidavi only. nina mke na watoto sharti ni moja tu asiwe mwanaccm au mlokole