Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #81
Siwezi kuli diss kaburi😂🤣, ambalo daily limejaa ufedhuli na ujeuri😂🤣Ulisha diss add kanisa langu mse...
Unataka niuwe mende kwa bunduki
Serikali inakujua wewe...
Mimi jobless 😂🤣Serikali inakujua wewe...
Unalipa TAX wewe
FakenMimi jobless 😂🤣
muache huyo mzee anapitia mengi😂mshamba_hachekwi eti mi kosa langu lipi hapo🤔🙄.
👉Au kuwa jobless ni dhambi siku hizi😂🤣
Dah kweli Poor Brain ni product ya mirembe inc.😂🤣🤣muache huyo mzee anapitia mengi😂
Bangi za uzeeni Zina kusumbua😂🤣, shikamooHauna afabu kabisa....☹️ eti aiam baki...😕 huku kijijini umemuachia mama yako yule mtoto uliezaa na Chausiku alafu unapita hapa unadunda....☹️
Kwahiyo nilivyo kutuma mara moja ukaniletee ndio umeamua kuja kunitangaza huku sindio...☹️Bangi za uzeeni Zina kusumbua😂🤣, shikamoo
😅😅😅 Nimecheka sana picha baada ya andiko... Mavuno kiasi gani baada ya kupoteaaaNational Anthem sema kitu mwizi anaye chipukia 🤣😂