Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Wajuba mpo.
Mr. Liverpool nimerudi Tena Toka chimbo.
Nimetoka huko porini napo Limia Parachichi zangu.
Eeh bwana eeeeh, panapo majaliwa kuanzia mwezi wa Feb/2022 naingia sokoni na Hass Avocado zangu. Na huu ndio mrejesho. Mliosema sijui nimeoa sijui nini poleni. Nimerudi japo ma adimin wamegoma kufunga hii account. Nadhani JF wametambua harakati zangu za kuokoa vijana na ndoa.
Haya nasikia wengine ndoa zishawashinda huko. Wengine mnateseka nazo. Wengine mnakaribia kufa.Ndugu jipeni raha.
TAFUTENI HELA mle maisha. Kuoa ni ujinga ujinga tu.
Hata JF wamegoma kufunga Hii account is so valuable in saving fellow Tanzanian mens.
MSIOE
MSIOE
TAFUTENI HELAAAA
#YNWA
Mr. Liverpool nimerudi Tena Toka chimbo.
Nimetoka huko porini napo Limia Parachichi zangu.
Eeh bwana eeeeh, panapo majaliwa kuanzia mwezi wa Feb/2022 naingia sokoni na Hass Avocado zangu. Na huu ndio mrejesho. Mliosema sijui nimeoa sijui nini poleni. Nimerudi japo ma adimin wamegoma kufunga hii account. Nadhani JF wametambua harakati zangu za kuokoa vijana na ndoa.
Haya nasikia wengine ndoa zishawashinda huko. Wengine mnateseka nazo. Wengine mnakaribia kufa.Ndugu jipeni raha.
TAFUTENI HELA mle maisha. Kuoa ni ujinga ujinga tu.
Hata JF wamegoma kufunga Hii account is so valuable in saving fellow Tanzanian mens.
MSIOE
MSIOE
TAFUTENI HELAAAA
#YNWA