Iam looking for business partners

 
Reactions: LAT
Kifo cha mtanzania ni kutaka kufanya kila kitu peke yake kwa lugha nyepesi ni (UBINAFSI). Mtoa mada nimemuelea hivi; anahitaji mtu wa kufanya nae kazii othewise asiingekuja hapa na hii idea angefanya mwenyewe kimya kimya.

Kama kweli unachosema uko serious nitafute nikuonyeshe njia ya kula hela bila hiyo mikopo yenye kukutaka kuweka bond nyumba etc. Siku hizi kuna Grant zinatolewa sana lakini watu wamekomaa na BANK zenye riba kubwa. NimekuPM namba ya simu kama uko kweli serious basi nipigie nikupe kwa undani zaiidi.

CD
 
You got it right LAT, I have done a big role already, have made the concept, done the plan so other partners should provide security collateral. Well, its a matter of sitting down and IRON OUT all those issues

Mkuu ..... tupo pamoja ..... ningeshauri utayarishe project overview or project summary of you idea kwa ajili ya kuwapatia interested investors hapa nchini.....also you can float it through various web based forums of investors

kwa kuanzia unaweza kuapply for investor matchmaking program katika hii organization iliyopo netherlands - BID NETWORK ..... hawa wanachukua business plan yako halafu wana match with their list of investors ..... ! i can imagine your idea is very ambitious and the possibility to take of is close to 95% ..... tolarate and never give up to the last minute

try your luck here ....

www.bidnetwork.org/page/43994/en
 
Mabibi na Mabwana kwa mara yangu ya kwanza nikutana na kitu cha kuvutia kama hiki! Let us join hands and go for this offer for those who can!
 

Honestly I dont know to send PM, pls send it to me then I will give you my e-mail so we can take up from there
 
Reactions: LAT
 

Caroline @ red. tafadhali unaweza kutujuza zaidi grants hizi ni zipi na kuhusu upatikanaji wake . Niko interested kwa ajili ya project yangu.
Thanks
 
Ingia www.tpsf.org. sasa hivi wanachukuwa watu wa HOTCULTURE, TOURISM NA FOOD PROCESSING. Kama una mradi unaangukia kwenye orodha hii wahi ukale hela huko.

Wako Mwaya Road, Masaki. Nenda kaulize wakupe details.
 
Mimi ninaweza pata eneo nje kidogo ya hifadhi ya Serengeti sehemu inayo itwa robanda. vipi hiyo imekaa vipi? na hata karatu tunashamba ambalo kama vipi tunaweza ligeuza kuwa eneo la camp make kilimo cha mvua kinaumiza sana.

Na vile vile hata mimi nilikuwa na idea nzuri sana katika maswala ya Tourism ni idea ya biashara ya utalii ambayo sijaiona mahali popote pale hapa tanzania. my be tuwasiliane cose na mimi niko Arusha then tunaweza ona tutafanyaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…