And where are yu searching them?? Kweli kwetu kuzuri sana. Utamwokota tu huko huko aliko ila usiangalie nywele tu. Siku hizi wadada wamegundua madawa mengi. Mchaga anajiyeyusha akiwekelea tena katani kichwani utathani ni mmarekani wa Alaska.
Kuna hii forum site inafanana kabisa na JF inaitwa www.blacktowhite.net ingia humo wapo wa kumwaga ushindwe wewe hadi dada zetu wakitaka madanga ya kizungu yapo humo kazi kwenu. Me nimeopoa kazungu kamoja ka kubatua kanakuja likizo Tanzania mwezi ujao.