Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,251
- 2,869
Jamaa alikuwa kanisani,jirani yake akamnong'oneza "kwa uwezo wa Mungu leo utatembea".....jamaa akafikiriaaaa "mbona sina ulemavu wa miguu?" Lakini akaona hamna noma,labda Mungu anataka kufanya miujiza,akajibu ameeen.Baada ya ibada,walipotawanyika,jamaa kujisachi akajikuta hana hata mia!!