Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Jana nilialikwa kwenye kanisa moja hapa jijini. Kanisa la watu wa Afrika ya Kati, kulikuwa na ibada maalum ya kumtukana shetani kwa mateso anayowapa wanadamu, aiseee jamaa wanatukana kudadeki.
Sikufanikiwa kumaliza ibada aisee..... kwa kweli sio kila kanisa ni la Kristo
Sikufanikiwa kumaliza ibada aisee..... kwa kweli sio kila kanisa ni la Kristo