Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kwahiyo matusi yalikuchosha..pole sana..waambie next time watukane na kukemea tozo nadhani itakua msaada kwa watanzania.Jana nilialikwa kwenye kanisa moja hapa jijini. Kanisa la watu wa Afrika ya Kati, kulikuwa na ibada maalum ya kumtukana shetani kwa mateso anayowapa wanadamu, aiseee jamaa wanatukana kudadeki.
Sikufanikiwa kumaliza ibada aisee..... kwa kweli sio kila kanisa ni la Kristo
Yuda 1:9Jana nilialikwa kwenye kanisa moja hapa jijini. Kanisa la watu wa Afrika ya Kati, kulikuwa na ibada maalum ya kumtukana shetani kwa mateso anayowapa wanadamu, aiseee jamaa wanatukana kudadeki.
Sikufanikiwa kumaliza ibada aisee..... kwa kweli sio kila kanisa ni la Kristo
Wazo zuri sana. Naamini wamekusikiaKwahiyo matusi yalikuchosha..pole sana..waambie next time watukane na kukemea tozo nadhani itakua msaada kwa watanzania.
#MaendeleoHayanaChama
Mimi sio mtukanaji ndio maana niliondoka kabla ibada haijaishaLete mfano wa matusi waliyokua wanamtukana sheitwan
Tozo ni shiiidaaaaaShetani=Tozo nialikwe na mimi
Unatukana kutokana na maumivu unayohisi shetani kakusababishiaLete mfano wa matusi waliyokua wanamtukana sheitwan
Aiseeee......Yuda 1:9
Lakini Mikaeli, malaika mkuu, aliposhindana na Ibilisi, na kuhojiana naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuthubutu kumshitaki kwa kumlaumu, bali alisema, Bwana na akukemee.
Yuda 1:10
Lakini watu hawa huyatukana mambo wasiyoyajua, na mambo wayatambuayo kwa asili wajiharibu kwayo kama wanyama wasio na akili.
Utamshinda shetani kwa matusi kweli? Nadhani atakuwa yeye ndiye bingwa wa kutukana mpaka matusi ambayo hatujayasikia. Ni kama vile padri anakwenda stendi kutukana wahuni wa pale. Hawezi kufua dafu.Unatukana kutokana na maumivu unayohisi shetani kakusababishia
Kwahiyo hilo kanisa wamepagawa?Yuda 1:9
Lakini Mikaeli, malaika mkuu, aliposhindana na Ibilisi, na kuhojiana naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuthubutu kumshitaki kwa kumlaumu, bali alisema, Bwana na akukemee.
Yuda 1:10
Lakini watu hawa huyatukana mambo wasiyoyajua, na mambo wayatambuayo kwa asili wajiharibu kwayo kama wanyama wasio na akili.
Shetani na ndugu zake [emoji23]Jana nilialikwa kwenye kanisa moja hapa jijini. Kanisa la watu wa Afrika ya Kati, kulikuwa na ibada maalum ya kumtukana shetani kwa mateso anayowapa wanadamu, aiseee jamaa wanatukana kudadeki.
Sikufanikiwa kumaliza ibada aisee..... kwa kweli sio kila kanisa ni la Kristo
Malaika wanafata Protocol na kuzi heshimu. Mikaeli awapo duniani ( sio eneo lake la mamlaka), atafanya tu pale kutimiza neno la Mungu linavyotaka, ila iwapo mbinguni anakuzabua tu maana ni eneo lake la mamlaka na utendaji. Shetani ibili duniani ni eneo lake, ndio maana Mikaeli hakutaka ku violate utaratibu ilibidi amsihi Mungu amkemee, ila Malaika yoyote duniani anafanya ( atadfanya) kama mtu amesema neno la Mungu, ( unapotamka neno la Mungu ndio unampa nguvu ya kutenda), refer Daniel kadri unavyotaka neno la Mungu una mu impower malaika kutenda kazi katika realm ya duniani, bila hivyo hawezi ndio maana hapo kwa Musa hakuwa na mwandamu ana interced so alichokimbilia mzee Michael ni kumuambia Mungu na akukemeeAiseeee......
Kumbe hawakupaswa kumtukana shetani. Sasa kwanini malaika alumuogopa shetani?
Hawajielewi 🤠🤠🤠Kwahiyo hilo kanisa wamepagawa?