Ibara 53 ya katiba inayopendekezwa inavyomzungumzia mtoto na haki zake

Ibara 53 ya katiba inayopendekezwa inavyomzungumzia mtoto na haki zake

nyimbag

Member
Joined
Feb 28, 2015
Posts
41
Reaction score
17
53.-(1) Kila mtoto ana haki ya:
(a) kupewa jina, uraia na kusajiliwa;
(b) kutoa mawazo, kusikilizwa na kulindwa dhidi ya uonevu, ukatili, udhalilishaji, utumikishwaji na mila potofu;
(c) kuwekewa mazingira bora ya kucheza na kupata elimu ya msingi;
(d) kuhifadhiwa katika mazingira mazuri, kwa walio katika ukinzani na sheria;
 
Hakuna tena Kura ya Maoni, hivyo Katiba Pendekezwa imekwisha kutupwa kapuni!!!!!
 
Hakuna tena Kura ya Maoni, hivyo Katiba Pendekezwa imekwisha kutupwa kapuni!!!!!

Kwani wewe umekuwa tangu lini msemaji wa Tume ya Uchaguzi? Wenye majibu hayo ni NEC na siyo mtu au taasisi nyingine. NEC ndiyo wenye mamlaka kisheria kutoa taarifa juu ya masuala yote yanayohusu kujiandikisha na uchaguzi kwa ujumla. Hivi vi nec vya mtaani ni porojo tu ili waendelee kukaa vijiweni. Acheni kuleta uongo wenu humu ndani JF
 
Back
Top Bottom