Ibara ya 41 ikomeshe malumbano haya ya dini.

Ibara ya 41 ikomeshe malumbano haya ya dini.

Dragunov Sniper

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
2,795
Reaction score
9
Nimekuwa nikifuatilia majibizano mbalimbali ndani ya JF ambayo kwa namna moja au nyingine naona hayana tija kwa mustakabali wa taifa letu kutokana na wachangiaji kuishia kurushiana maneno na kutunishiana misuli kwa kushindanisha madhehebu ya dini, lipi zaidi! .Nionavyo mimi hili halikubaliki hata kidogo katika nchi ya Tanzania ambayo kwa kipindi kirefu imekuwa na hali ya kuvuliana kati ya watu wa imani tofauti!

Baba wa Taifa Mwl.Julius K.Nyerere alikuww mkali katika hili akiweka msisitizo katika kujenga taifa ambalo watu wake wanaheshimiana licha ya kuwepo kwa tofauti za dini, rangi na kabila.Pia nikiangalia uongozi wa awamu ya nne ,Rais Jakaya Kikwete amekuwa mstari wa mbele kukemea mitafaruku ya kidini kwa kutambua athari zake katika kujenga Umoja,amani na mshikamano.

Kwa upande wangu nimekuwa wazi kabisa katika michango yangu kuwa kama ilivyo kwa katiba ya Jamhuri ya Muunganonwa Tanzania ya 1977 kuweka msingi imara katika masuala ya uhuru wa kuabudu na imani ya dini, Katiba inayopendekezwa pia inatoa tiba ya uendeshaji wa shughuli za madhehebu ya dini hasa Uhuru wa Imani ya dini kwa makundi yote,Sura ya Tano, sehemu ya kwanza kwenye Ibara ya 41 imeweka wazi kabisa utendaji wa Serikali kutoingiza masuala ya dini kama inavyosomeka hapo chini,

41.-(3) Shughuli za uendeshaji wa jumuiya za dini itakua nje ya shughuli za Serikali.

Nawaomba watanzania tuungane katika kuchukia hali yoyote inayotakana na baadhi ya watu wachache wanaotaka kutugawa kwa misingi ya dini!

Mungu Ibariki Tanzania!

Naomba kuwasilisha!
 
Nimekuwa nikifuatilia majibizano mbalimbali ndani ya JF ambayo kwa namna moja au nyingine naona hayana tija kwa mustakabali wa taifa letu kutokana na wachangiaji kuishia kurushiana maneno na kutunishiana misuli kwa kushindanisha madhehebu ya dini, lipi zaidi! .Nionavyo mimi hili halikubaliki hata kidogo katika nchi ya Tanzania ambayo kwa kipindi kirefu imekuwa na hali ya kuvuliana kati ya watu wa imani tofauti!

Baba wa Taifa Mwl.Julius K.Nyerere alikuww mkali katika hili akiweka msisitizo katika kujenga taifa ambalo watu wake wanaheshimiana licha ya kuwepo kwa tofauti za dini, rangi na kabila.Pia nikiangalia uongozi wa awamu ya nne ,Rais Jakaya Kikwete amekuwa mstari wa mbele kukemea mitafaruku ya kidini kwa kutambua athari zake katika kujenga Umoja,amani na mshikamano.

Kwa upande wangu nimekuwa wazi kabisa katika michango yangu kuwa kama ilivyo kwa katiba ya Jamhuri ya Muunganonwa Tanzania ya 1977 kuweka msingi imara katika masuala ya uhuru wa kuabudu na imani ya dini, Katiba inayopendekezwa pia inatoa tiba ya uendeshaji wa shughuli za madhehebu ya dini hasa Uhuru wa Imani ya dini kwa makundi yote,Sura ya Tano, sehemu ya kwanza kwenye Ibara ya 41 imeweka wazi kabisa utendaji wa Serikali kutoingiza masuala ya dini kama inavyosomeka hapo chini,

41.-(3) Shughuli za uendeshaji wa jumuiya za dini itakua nje ya shughuli za Serikali.

Nawaomba watanzania tuungane katika kuchukia hali yoyote inayotakana na baadhi ya watu wachache wanaotaka kutugawa kwa misingi ya dini!

Mungu Ibariki Tanzania!

Naomba kuwasilisha!
Hii ndugu imekaa vizuri nanumeidadavua vema, kuna hajakubwa ya watu kuelimikamjuu ya suala hili.
 
Muulize Pinda na wenzake kwanini wanauleta huo Muswada wa Mahakama ya Kadhi
unafikiri Kipengele hicho hawakioni?
 
Nimekuwa nikifuatilia majibizano mbalimbali ndani ya JF ambayo kwa namna moja au nyingine naona hayana tija kwa mustakabali wa taifa letu kutokana na wachangiaji kuishia kurushiana maneno na kutunishiana misuli kwa kushindanisha madhehebu ya dini, lipi zaidi! .Nionavyo mimi hili halikubaliki hata kidogo katika nchi ya Tanzania ambayo kwa kipindi kirefu imekuwa na hali ya kuvuliana kati ya watu wa imani tofauti!

Baba wa Taifa Mwl.Julius K.Nyerere alikuww mkali katika hili akiweka msisitizo katika kujenga taifa ambalo watu wake wanaheshimiana licha ya kuwepo kwa tofauti za dini, rangi na kabila.Pia nikiangalia uongozi wa awamu ya nne ,Rais Jakaya Kikwete amekuwa mstari wa mbele kukemea mitafaruku ya kidini kwa kutambua athari zake katika kujenga Umoja,amani na mshikamano.

Kwa upande wangu nimekuwa wazi kabisa katika michango yangu kuwa kama ilivyo kwa katiba ya Jamhuri ya Muunganonwa Tanzania ya 1977 kuweka msingi imara katika masuala ya uhuru wa kuabudu na imani ya dini, Katiba inayopendekezwa pia inatoa tiba ya uendeshaji wa shughuli za madhehebu ya dini hasa Uhuru wa Imani ya dini kwa makundi yote,Sura ya Tano, sehemu ya kwanza kwenye Ibara ya 41 imeweka wazi kabisa utendaji wa Serikali kutoingiza masuala ya dini kama inavyosomeka hapo chini,

41.-(3) Shughuli za uendeshaji wa jumuiya za dini itakua nje ya shughuli za Serikali.

Nawaomba watanzania tuungane katika kuchukia hali yoyote inayotakana na baadhi ya watu wachache wanaotaka kutugawa kwa misingi ya dini!

Mungu Ibariki Tanzania!

Naomba kuwasilisha!

CC

Ally Kombo,
 
Nimekuwa nikifuatilia majibizano mbalimbali ndani ya JF ambayo kwa namna moja au nyingine naona hayana tija kwa mustakabali wa taifa letu kutokana na wachangiaji kuishia kurushiana maneno na kutunishiana misuli kwa kushindanisha madhehebu ya dini, lipi zaidi! .Nionavyo mimi hili halikubaliki hata kidogo katika nchi ya Tanzania ambayo kwa kipindi kirefu imekuwa na hali ya kuvuliana kati ya watu wa imani tofauti!

Baba wa Taifa Mwl.Julius K.Nyerere alikuww mkali katika hili akiweka msisitizo katika kujenga taifa ambalo watu wake wanaheshimiana licha ya kuwepo kwa tofauti za dini, rangi na kabila.Pia nikiangalia uongozi wa awamu ya nne ,Rais Jakaya Kikwete amekuwa mstari wa mbele kukemea mitafaruku ya kidini kwa kutambua athari zake katika kujenga Umoja,amani na mshikamano.

Kwa upande wangu nimekuwa wazi kabisa katika michango yangu kuwa kama ilivyo kwa katiba ya Jamhuri ya Muunganonwa Tanzania ya 1977 kuweka msingi imara katika masuala ya uhuru wa kuabudu na imani ya dini, Katiba inayopendekezwa pia inatoa tiba ya uendeshaji wa shughuli za madhehebu ya dini hasa Uhuru wa Imani ya dini kwa makundi yote,Sura ya Tano, sehemu ya kwanza kwenye Ibara ya 41 imeweka wazi kabisa utendaji wa Serikali kutoingiza masuala ya dini kama inavyosomeka hapo chini,

41.-(3) Shughuli za uendeshaji wa jumuiya za dini itakua nje ya shughuli za Serikali.

Nawaomba watanzania tuungane katika kuchukia hali yoyote inayotakana na baadhi ya watu wachache wanaotaka kutugawa kwa misingi ya dini!

Mungu Ibariki Tanzania!

Naomba kuwasilisha!


Nimegundua Wachangiaji wanaochangia Humu HAWAJASOMA KATIBA YENYEWE .

Ni Ibara Ya 40(3) Na Sio 41

THANKS
 
Muulize Pinda na wenzake kwanini wanauleta huo Muswada wa Mahakama ya Kadhi
unafikiri Kipengele hicho hawakioni?

Kwani hicho kipengele kinazuia kuendesha shughuli za dini? Jaribu kuelewa na ndio maana zipo taasisi za dini ambazo zinatambuliwa na serikali kama Jumuia ya wakristo kwa wakristo na BAKWATA kwa waislamu.

Mtoa mada umeongelea kitu cha msingi sana katika kuhakikisha taifa na watu wake wanakuwa kitu kimoja bila kunyanyapaana katika kuleta maendeleo ya taifa
 
Nimegundua Wachangiaji wanaochangia Humu HAWAJASOMA KATIBA YENYEWE .

Ni Ibara Ya 40(3) Na Sio 41

THANKS

Huu uongo ndiyo unanipa wasiwasi kama mchangiaji yupo makini na anachosema Laizer Peter “Nimegundua Wachangiaji wanaochangia Humu HAWAJASOMA KATIBA YENYEWE. Ni Ibara Ya 40 (3) Na Sio 41Ni Ibara Ya 40(3) Na Sio 41” Siyo kweli.



Jamani tusiwadanganye na kuwapotosha watu na wasomaji wetu wa JF hapa, Ukweli ni kwamba kuhusu suala la Uhuru wa imani ya dini, suala hili lipo Ibara ya 41.-(1) Kila mtu ana uhuru wa mawazo, dhamiri, imani na uchaguzi katika mambo ya imani ya dini na anao uhuru pia wa kubadilisha dini, imani yake au kutokuwa na imani na dini…………………. Wakati Ibara ya 40 ya Katiba Inayopendekezwa kuhusu Uhuru wa habari na vyombo vya habari; "(1) Kila mtu ana haki na uhuru wa: (a) kutafuta, kupata, kutumia na kusambaza habari na taarifa sahihi; na (b) kuanzisha vyombo vya habari na njia nyingine za upashanaji wa habari…………………."


Sasa kuwa makini na vipengele unavyoainisha ili kutokuwapotosha wasomaji kwa manufaa ya nchi yetu.
 
Huu uongo ndiyo unanipa wasiwasi kama mchangiaji yupo makini na anachosema Laizer Peter “Nimegundua Wachangiaji wanaochangia Humu HAWAJASOMA KATIBA YENYEWE. Ni Ibara Ya 40 (3) Na Sio 41Ni Ibara Ya 40(3) Na Sio 41” Siyo kweli.



Jamani tusiwadanganye na kuwapotosha watu na wasomaji wetu wa JF hapa, Ukweli ni kwamba kuhusu suala la Uhuru wa imani ya dini, suala hili lipo Ibara ya 41.-(1) Kila mtu ana uhuru wa mawazo, dhamiri, imani na uchaguzi katika mambo ya imani ya dini na anao uhuru pia wa kubadilisha dini, imani yake au kutokuwa na imani na dini…………………. Wakati Ibara ya 40 ya Katiba Inayopendekezwa kuhusu Uhuru wa habari na vyombo vya habari; "(1) Kila mtu ana haki na uhuru wa: (a) kutafuta, kupata, kutumia na kusambaza habari na taarifa sahihi; na (b) kuanzisha vyombo vya habari na njia nyingine za upashanaji wa habari…………………."


Sasa kuwa makini na vipengele unavyoainisha ili kutokuwapotosha wasomaji kwa manufaa ya nchi yetu.


mmmmmmmmhhhh!! Me nasoma katiba iliyopendekezwa sasa cjui hiyo yako umeitoa wapi
 
Huu uongo ndiyo unanipa wasiwasi kama mchangiaji yupo makini na anachosema Laizer Peter “Nimegundua Wachangiaji wanaochangia Humu HAWAJASOMA KATIBA YENYEWE. Ni Ibara Ya 40 (3) Na Sio 41Ni Ibara Ya 40(3) Na Sio 41” Siyo kweli.



Jamani tusiwadanganye na kuwapotosha watu na wasomaji wetu wa JF hapa, Ukweli ni kwamba kuhusu suala la Uhuru wa imani ya dini, suala hili lipo Ibara ya 41.-(1) Kila mtu ana uhuru wa mawazo, dhamiri, imani na uchaguzi katika mambo ya imani ya dini na anao uhuru pia wa kubadilisha dini, imani yake au kutokuwa na imani na dini…………………. Wakati Ibara ya 40 ya Katiba Inayopendekezwa kuhusu Uhuru wa habari na vyombo vya habari; "(1) Kila mtu ana haki na uhuru wa: (a) kutafuta, kupata, kutumia na kusambaza habari na taarifa sahihi; na (b) kuanzisha vyombo vya habari na njia nyingine za upashanaji wa habari…………………."


Sasa kuwa makini na vipengele unavyoainisha ili kutokuwapotosha wasomaji kwa manufaa ya nchi yetu.

Em Jaribu kuangalia tena
 
Nimegundua Wachangiaji wanaochangia Humu HAWAJASOMA KATIBA YENYEWE .

Ni Ibara Ya 40(3) Na Sio 41

THANKS

Wewe Laizer naona sasa umevaa miwani ya mbao mpaka unaanza kudanganya umma kuhusu Ibara ya 40 na ya 41, Ibara ya 40 inahusu Uhuru wa Habari na Vyombo vya Habari, halafu Ibara ya 41 inahusu Uhuru wa Imani ya Dini, sasa wewe unaweka vice versa, huoni hapo umechanganya wasomaji humu ndani??? tena unapotosha umma. sasa nimeattach screen shot ya hizo Ibara hapo chini....angalia kwa makini hizo sehemu ili uelewe sio unakurupuka tuu.
View attachment 239426
 
mmmmmmmmhhhh!! Me nasoma katiba iliyopendekezwa sasa cjui hiyo yako umeitoa wapi

Haise unanitisha sana na kunishangaza! huo ujasiri wa kuongea uongo kupitia maandishi yaliyosahihi na kuyabadilisha? Laaa! Shangaa lakini uweli ndiyo huo kwamba suala la Uhuru wa imani ya dini, suala hili lipo Ibara ya 41.-(1) Kila mtu ana uhuru wa mawazo, dhamiri, imani na uchaguzi katika mambo ya imani ya dini na anao uhuru pia wa kubadilisha dini, imani yake au kutokuwa na imani na dini…………………. Wakati Ibara ya 40 ya Katiba Inayopendekezwa kuhusu Uhuru wa habari na vyombo vya habari; "(1) Kila mtu ana haki na uhuru wa: (a) kutafuta, kupata, kutumia na kusambaza habari na taarifa sahihi; na (b) kuanzisha vyombo vya habari na njia nyingine za upashanaji wa habari…………………."
 
Nimekuwa nikifuatilia majibizano mbalimbali ndani ya JF ambayo kwa namna moja au nyingine naona hayana tija kwa mustakabali wa taifa letu kutokana na wachangiaji kuishia kurushiana maneno na kutunishiana misuli kwa kushindanisha madhehebu ya dini, lipi zaidi! .Nionavyo mimi hili halikubaliki hata kidogo katika nchi ya Tanzania ambayo kwa kipindi kirefu imekuwa na hali ya kuvuliana kati ya watu wa imani tofauti!Baba wa Taifa Mwl.Julius K.Nyerere alikuww mkali katika hili akiweka msisitizo katika kujenga taifa ambalo watu wake wanaheshimiana licha ya kuwepo kwa tofauti za dini, rangi na kabila.Pia nikiangalia uongozi wa awamu ya nne ,Rais Jakaya Kikwete amekuwa mstari wa mbele kukemea mitafaruku ya kidini kwa kutambua athari zake katika kujenga Umoja,amani na mshikamano.Kwa upande wangu nimekuwa wazi kabisa katika michango yangu kuwa kama ilivyo kwa katiba ya Jamhuri ya Muunganonwa Tanzania ya 1977 kuweka msingi imara katika masuala ya uhuru wa kuabudu na imani ya dini, Katiba inayopendekezwa pia inatoa tiba ya uendeshaji wa shughuli za madhehebu ya dini hasa Uhuru wa Imani ya dini kwa makundi yote,Sura ya Tano, sehemu ya kwanza kwenye Ibara ya 41 imeweka wazi kabisa utendaji wa Serikali kutoingiza masuala ya dini kama inavyosomeka hapo chini,41.-(3) Shughuli za uendeshaji wa jumuiya za dini itakua nje ya shughuli za Serikali. Nawaomba watanzania tuungane katika kuchukia hali yoyote inayotakana na baadhi ya watu wachache wanaotaka kutugawa kwa misingi ya dini!Mungu Ibariki Tanzania!Naomba kuwasilisha!
Ni vizuri sote tulio jf tukaelewa kuwa upotoshaji haukubaliki kwa kuwa watanzania kwa sasa wanauelewa wa kutosha kuhusu katiba inayopendekezwa na ni lazima tutambue kuwa katiba hii ni mawazo ya watanzania wenyewe na ndio mustakabali wa taifa hili,hivyo ni vyema tukajiepusha kuwapotosha wananchi,najiuliza hivi uzalendo uko wapi katika kulijenga taifa hili?kwa kuwa naona baadhi ya watu wameamua kutumia muda mwingi humu jf kupotosha wenzao kuhusu mambo ya katiba inayopendekezwa wakieneza maneno ya uongo na kusema eti haifai,huku ni kuwazarau watanznia kwa kuwa katiba pendekezwa ni ya watanzania wote na ndio muongozo wa taifa hili. Tujitafakari kwanza na tujirekebishe jamani,nchi yetu tuijenge kwa pamoja,siko hapa kuangalia nani kasema nn? Ila napenda kusimamia haki na ukweli ni daima ukweli utamalaki,tanzania ni zaidi ya itikadi za mtu mmoja mmoja au kikundi fulani cha watu,watanzania wenzangu tunalo jukumu la kuelimishana na kuepuka upotoshaji unaofanywa na watu wachache wanaoeneza propaganda zisizo na nia njema kwa taifa letu,tunalo jukumu la kupiga vita kila aina ya upotoshaji,tanzania kwanza mengine yatafuta na mpango wa sasa ni katiba mpya
 
Nimegundua Wachangiaji wanaochangia Humu HAWAJASOMA KATIBA YENYEWE .

Ni Ibara Ya 40(3) Na Sio 41

THANKS

Kaka Laizer kuwa mkweli kudanganya sio kuzuri hiyo Ibara unayoisema wewe ya 40 (3) haizungumzii Uhuru wa Imani ya dini inazungumzia Serikali kuwa na wajibu wa kutoa taarifa kwa umma, kuhusu shughuli za Serikali, naomba uwe makini wana JF tunasoma kwelikweli na tuko makini ndugu na michango ya wenzetu !

Ibara ya 41 inazungumzia masuala ya Imani na uhuru wa dini.
 
Kwani hicho kipengele kinazuia kuendesha shughuli za dini? Jaribu kuelewa na ndio maana zipo taasisi za dini ambazo zinatambuliwa na serikali kama Jumuia ya wakristo kwa wakristo na BAKWATA kwa waislamu.
Mtoa mada umeongelea kitu cha msingi sana katika kuhakikisha taifa na watu wake wanakuwa kitu kimoja bila kunyanyapaana katika kuleta maendeleo ya taifa
hujaeleweka Mkuu kwani Mada inasema kukomesha Malumbano ya Kidini
[h=2]Re: Ibara ya 41 ikomeshe malumbano haya ya dini.[/h]mm nime=reffer vurugu za Bunge kuwa Malumbano yalifikia pabaya Je hao Wabunge hawakijui hicho kipengele?
Naona ww uko mbali sana na Serikali iliyochini ya Pinda =Hilo ni changa la macho
Jumuiya zipo na zitaendelea lkn huo Muswada ni vipi hiyo kesho? wakati ww unasubiri kifungu 41
waambie basi Wabunge wasiujadili kwani tayari mnacho
 
hujaeleweka Mkuu kwani Mada inasema kukomesha Malumbano ya Kidini
Re: Ibara ya 41 ikomeshe malumbano haya ya dini.

mm nime=reffer vurugu za Bunge kuwa Malumbano yalifikia pabaya Je hao Wabunge hawakijui hicho kipengele?
Naona ww uko mbali sana na Serikali iliyochini ya Pinda =Hilo ni changa la macho
Jumuiya zipo na zitaendelea lkn huo Muswada ni vipi hiyo kesho? wakati ww unasubiri kifungu 41
waambie basi Wabunge wasiujadili kwani tayari mnacho

Mh hueleweki mkuu
 
Nimegundua Wachangiaji wanaochangia Humu HAWAJASOMA KATIBA YENYEWE .

Ni Ibara Ya 40(3) Na Sio 41

THANKS

Laizer acha kupotosha umma ninakuheshimu sana, uongo humu hauwezi kuvumiliwa hata kido Uhuru wa IMani ya DIni ni IBara ya 41; (1) - (7) nenda kasome vizuri usituuza hapa!
 
hujaeleweka Mkuu kwani Mada inasema kukomesha Malumbano ya Kidini
[h=2]Re: Ibara ya 41 ikomeshe malumbano haya ya dini.[/h]mm nime=reffer vurugu za Bunge kuwa Malumbano yalifikia pabaya Je hao Wabunge hawakijui hicho kipengele?
Naona ww uko mbali sana na Serikali iliyochini ya Pinda =Hilo ni changa la macho
Jumuiya zipo na zitaendelea lkn huo Muswada ni vipi hiyo kesho? wakati ww unasubiri kifungu 41
waambie basi Wabunge wasiujadili kwani tayari mnacho

Sijaiona pointi yako mkuu.....labda hujielewi hata unachotaka kukizungumza...naomba urudie kusoma komenti yako ya kwanza niliyokukoti halafu urudi na ujenge hoja.
 
hujaeleweka Mkuu kwani Mada inasema kukomesha Malumbano ya Kidini
Re: Ibara ya 41 ikomeshe malumbano haya ya dini.

mm nime=reffer vurugu za Bunge kuwa Malumbano yalifikia pabaya Je hao Wabunge hawakijui hicho kipengele?
Naona ww uko mbali sana na Serikali iliyochini ya Pinda =Hilo ni changa la macho
Jumuiya zipo na zitaendelea lkn huo Muswada ni vipi hiyo kesho? wakati ww unasubiri kifungu 41
waambie basi Wabunge wasiujadili kwani tayari mnacho



Kwa Taarifa yako mie siko mbali na serikali yangu huo mswaada jadili mwenyewe,umeshaona vumbi lake bungeni nani anautaka hapa ni wa wachache usitupotezee muda!
 
Back
Top Bottom