CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
sasa itakuwaje kama djuma shabani hatakuja kidimbwi?Hamna kocha humo
yaani kama ni kweli utawaka motooo na injinia anawapatia kweli haya majamaa yakaambiwa imelipwa bilioni moja kwa as vita na bilioni 5 kwa kaizer chiefs kwa ajili ya kambole, duhTFF hao ndo wamesababisha,Djuma ilikua aje Yanga bana.
siyo haki yanga wanahujumiwa na na Tffchizi maarifa anasemaje yeye je hili suala ni haki kweli
Tff imeshindwa hata kuilinda mitambo ya magoli iliyoko yanga ikifika tu nchini inalogwa na hakuna hatua yoyote inayochukuliwa na kariaKama ni ivyo kwa Dhuma Shabani basi lawama zote kwa tff badala ya lawama apewe Eng aliyewaaaminisha wanaYanga
mtoto wakiume na kanga wapi na wapi?yaani kama ni kweli utawaka motooo na injinia anawapatia kweli haya majamaa yakaambiwa imelipwa bilioni moja kwa as vita na bilioni 5 kwa kaizer chiefs kwa ajili ya kambole, duh
Tff wanavyowafanyia hapo kidimbwini siyo fair kabisa...sasa hiyo dollar 500,000 ya kumunua Djuma shabani itarudishwa au? ongezeni ifike dollar milioni 10 tuwaachie miqquisonemtoto wakiume na kanga wapi na wapi?