Ibenge kasema hataki Kuchafua Jedwali, hivyo 'pira lipigwe' na anaweka 'muziki full mkoko' huko mlikomfuata

Ibenge kasema hataki Kuchafua Jedwali, hivyo 'pira lipigwe' na anaweka 'muziki full mkoko' huko mlikomfuata

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani mpaka sasa Yeye ndiyo hajafungwa Mechi hata Moja halafu na Fedha zenu za Kukwepa Kodi za Kampuni yenu (yenye shareholder mkubwa Mstaafu Mr. Chalinze Bagamoyo) ndiyo mnataka mumuzawadie ili 'awaminyie' mumfunge kisha mjiweke pazuri mvuke mkijiaminisha kuwa iwe isiwe Mwarabu atakufa Temeke Stadium Wiki ijayo?

Kudadadeki Fedha zenu kazikataa na alivyo Katili na Bandidu kasema Pira lipigwe Uwanjani na japo kwa 99.99999% ameshapita, ila anaenda kuweka mkoko full mziki kwani anataka kuweka Rekodi yake.
 
Yaani mpaka sasa Yeye ndiyo hajafungwa Mechi hata Moja halafu na Fedha zenu za Kukwepa Kodi za Kampuni yenu (yenye shareholder mkubwa Mstaafu Mr. Chalinze Bagamoyo) ndiyo mnataka mumuzawadie ili 'awaminyie' mumfunge kisha mjiweke pazuri mvuke mkijiaminisha kuwa iwe isiwe Mwarabu atakufa Temeke Stadium Wiki ijayo?

Kudadadeki Fedha zenu kazikataa na alivyo Katili na Bandidu kasema Pira lipigwe Uwanjani na japo kwa 99.99999% ameshapita, ila anaenda kuweka mkoko full mziki kwani anataka kuweka Rekodi yake.
Nyie tulieni tunawajua mlivyo wazee wa kubadili gia angani,,yanga kwenye michezo kama iyo muhimu ndio uwa wanawafanya myameze maneno yenu,,pira litapigwa na point 3 zitachukuliwa kivyovyote!
 
Hata sisi tunataka tucheze mpira kihalali hatutaki kuonewa huruma wala vimagoli vya kusubiri za papatu papatu.

Kumbuka Yanga ndio iliyoziaminisha club nyingine inawezekana kushinda ugenini. Acha mpira uchezwe
 
Juzi mara Ibenge ataweka full mkoko
Jana mara kikosi hakijapangwa kile kilichoshinda mechi ya kwanza kiufupi huna hoja umejaa vitaarifa fulan fulan vya kuokoteza vilivyojaa mahaba ya kikolo ndani yake please respect football na uiheshimu Yanga pia
 
Yaani mpaka sasa Yeye ndiyo hajafungwa Mechi hata Moja halafu na Fedha zenu za Kukwepa Kodi za Kampuni yenu (yenye shareholder mkubwa Mstaafu Mr. Chalinze Bagamoyo) ndiyo mnataka mumuzawadie ili 'awaminyie' mumfunge kisha mjiweke pazuri mvuke mkijiaminisha kuwa iwe isiwe Mwarabu atakufa Temeke Stadium Wiki ijayo?

Kudadadeki Fedha zenu kazikataa na alivyo Katili na Bandidu kasema Pira lipigwe Uwanjani na japo kwa 99.99999% ameshapita, ila anaenda kuweka mkoko full mziki kwani anataka kuweka Rekodi yake.
Mangungu nae tunampaga hela makolo yanaumia sana
 
Yaani mpaka sasa Yeye ndiyo hajafungwa Mechi hata Moja halafu na Fedha zenu za Kukwepa Kodi za Kampuni yenu (yenye shareholder mkubwa Mstaafu Mr. Chalinze Bagamoyo) ndiyo mnataka mumuzawadie ili 'awaminyie' mumfunge kisha mjiweke pazuri mvuke mkijiaminisha kuwa iwe isiwe Mwarabu atakufa Temeke Stadium Wiki ijayo?

Kudadadeki Fedha zenu kazikataa na alivyo Katili na Bandidu kasema Pira lipigwe Uwanjani na japo kwa 99.99999% ameshapita, ila anaenda kuweka mkoko full mziki kwani anataka kuweka Rekodi yake.
A fool will remain fool whether he goes to school, or not. Mark my word, ok?
 
Na kama ulivyosema popopozzzz kweli jana kakamia lakini mkwepa kodi yule kashikwa na sasa anajiandaa kulipa madeni yote ya nyuma ikiwamo na faini..
 
Back
Top Bottom