GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Yaani mpaka sasa Yeye ndiyo hajafungwa Mechi hata Moja halafu na Fedha zenu za Kukwepa Kodi za Kampuni yenu (yenye shareholder mkubwa Mstaafu Mr. Chalinze Bagamoyo) ndiyo mnataka mumuzawadie ili 'awaminyie' mumfunge kisha mjiweke pazuri mvuke mkijiaminisha kuwa iwe isiwe Mwarabu atakufa Temeke Stadium Wiki ijayo?
Kudadadeki Fedha zenu kazikataa na alivyo Katili na Bandidu kasema Pira lipigwe Uwanjani na japo kwa 99.99999% ameshapita, ila anaenda kuweka mkoko full mziki kwani anataka kuweka Rekodi yake.
Kudadadeki Fedha zenu kazikataa na alivyo Katili na Bandidu kasema Pira lipigwe Uwanjani na japo kwa 99.99999% ameshapita, ila anaenda kuweka mkoko full mziki kwani anataka kuweka Rekodi yake.