Natamani nisafiri leo hii,kumbe unajipatia kirahis tu kunako yutongWatu wanajiweza. Mtu humjui mbebane mkalalane. Umaraya usio wa kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanii. nikipandaga bus na mtu akashoboka nakula nakunywa namba nampa ila nikishashuka stands story inaishia hapo.Natamani nisafiri leo hii,kumbe unajipatia kirahis tu kunako yutong
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16]Natamani nisafiri leo hii,kumbe unajipatia kirahis tu kunako yutong
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe kisa mkuuNiliwahi Kukutana na Jini Mwendokasi Pale Morocco!
Mkuu acha mpaka sasa naogopa kutongoza watoto wazuri!
Natamani namimi nipate manzi wa namna hiyoNilikutana na tukio kama. Lako... Nilipanda bus Toka Arusha saa 6..bus la mchana kwenda dsm.
Jamaa Toka Arusha alikua Ana chat na mkewe kwenye iPad.... Hali ilibadilika pale segera baada ya wadada wawili wa kitanga kupanda bus mishale ya saa Tatu usiku... Mmoja Akakaa na jamaa...
Baada ya nusu saa Wali anza kuchangamkiana jamaa akazima na iPad yenyewe.. Akakata communications na mkewe... Akawa busy na Dada...
Tulikua tuko seats za back bench (nyuma) ya bus kabisa.. Na bus hili halikua na abiria wengi... So usiku taa huwa zinazimwa kasoro za TV ya bus tu..
Huwezi amini maeneo ya kabuku na wami jamaa alikua ananyonywa dushelele yake na huyu mdada.... Me nilishuka mbezi mwisho sijui walivyofika ubungo saa Sita usiku ilikuaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nguvu gani inayosababisha abiria wa jinsia tofauti,Rika zinazo landana,wanapokuwa ktk safari(Seat za pamoja),safari ndefu(mkoa mpaka mkoa).Mwisho wake huishia Hotel au Guest house?
Nimeuliza haya kwa ninayo yaona marazote nisafiripo na Public Bus.
"Leo nilikuwa safari DSM Tanga,nimepanda Bus pale Ubungo jioni saa10 tumeondoka.Pembeni yangu(viti vya pembeni jirani) alikuwepo bint wa Age 26-30.Tumeondoka nae ubungo akiwa pekeyake,Basi tumefika Bagamoyo kabla yakukata kona alipanda kijana Me age (25-28).Akakaa na yule bint,kimnya kilipita hakuna aliyekuwa na story na mwenzie,haswa bint ndie alikuwa busy na simu yake muda wote.Jamaa yupo busy tunaangalia Move(kideo).Mambo yalianza kubadilika baada kama dk 45 tulifika pale tunachimba dawa,Dada alishuka kujisaidia,kurudi jamaa kakaa dirishani akataka kumpisha,Dada akamwambia hapana kaa tu.Hapo hapo story zikaanza,baada ya lisaa nikaona watu wanaanza egemeana...Vituko vilikuwa vingi,lakini kwaufupi mpaka tunafika stand walikuwa kama wamejuana miaka 2 kabla.Lakini Dada ndie alionekana kuwa na hamu na jamaa sana,mana alionyesha kumng'ang'ania watafute hotel.Mimi nikiwa namsubiria Dereva anifuate.,Niliona wakichukua Tax.
Ila mkononi Dada alivaa Pete nzuri sana.
Samahanini sio mwandishi mzuri na nimechoka na safari,lakini hili limenifanya niandike na usiku huu mana sio Mara yakwanza kushuhudia haya na Mimi mwenyewe nikiwa muhanga zaidi ya Mara3 nishakulaga wadada nikiwa safarini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wengi wana tabia ya kupenda kuserve fedha safarini hata kama ni 20,000! Wengine hulala hata na kondakta kuserve nauli 15,000 au hela ya guest house 25,000/-. Huu ni udhaifu wa wanawake wengi na ndo maana wanaliwa ovyo safarini. Si udhaifu, ni silka. Hata umpe budget yote aliopanga, akimpata wa kulipia gharama naye hatamwacha, kama ni kukatisha safari. Mwanamke ki asili ni dhaifu, ni wajibu wetu wanaume kuwa makini, kukwepa matatizo kwa starehe ya muda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani jini kitu gani bana wewe muoga sana, jini lenyewe unaligonga nyapu ya buree kabisa na hiyo halihitaji hela,na tena yanakuwaga matamu sana kimsuguano ila sasa ni sawa na kula nyama ya mtu hutoacha na usipendepende vimada wana wivu sana, wee si jaribu tu vinginevyo you will never knows till you have tried. unaweza ukazaa nalo. vitoto bomba kabisa ila sasa utaviona na kucheza navyo usiku tuu. hata hapo ulipo ukitaka waweza rushiwa moja kama ukipendwa, yanaona mbali yale we acha tu.utakutana na majini mkuu wanakuwepo sana kwenye mabasi
Kwani jini kitu gani bana wewe muoga sana, jini lenyewe unaligonga nyapu ya buree kabisa na hiyo halihitaji hela,na tena yanakuwaga matamu sana kimsuguano ila sasa ni sawa na kula nyama ya mtu hutoacha na usipendepende vimada wana wivu sana, wee si jaribu tu vinginevyo you will never knows till you have tried. unaweza ukazaa nalo. vitoto bomba kabisa ila sasa utaviona na kucheza navyo usiku tuu. hata hapo ulipo ukitaka waweza rushiwa moja kama ukipendwa, yanaona mbali yale we acha tu.utakutana na majini mkuu wanakuwepo sana kwenye mabasi
Sijaelewa hapo kwa Dada yako kabisa?inamana unamkaza Dada yako wa kuzaliwa nae kabisa?hebu tueleze vizuriSiyo udhaifu wanawake wanatupenda sana sisi vidume. na huruma zao pia dhidi yetu.mimi huwaga sitongozi mwanamke. sikuamini nilipotongozwa na mke wa boss wangu. nikaoa kabisaa kisiri. dada yangu pia kabisaa nikafanya jamani, tena ananitafuta yeye basi,japo nilikuwa namkwepa. kukomesha hilo nikahama nyumbani. lakini bado tu anasingizia naenda muona kaka ajabu hakuna anaye jua mpaka leo. hasahasa kama siyo cha upepo utawapata wengi sana
Hilo balaa nilikutana nalo mwaka fulani.Nilipakata mtoto mwanzo hadi mwisho wa safari.Tukafika usiku sana Mwanza.Ikabidi tuchukue vyumba viwili,changu na cha bibie mwenye mtoto.Na kulipa nililipa mwenyewe.Safi sana.mi huwa nakutana na wamama wanaosafiri na watoto so huwa naishia kuwasaidia kupakata watoto