Tall Guy fam
JF-Expert Member
- Jan 16, 2017
- 917
- 1,093
Kweli kabisa......dogo anatupa mawe balaa.Habari wakuu,
Kwa kifupi pambano la Ibra na mmalawi lilikua tamu sana, I'm sure hata wale waliolipa laki au zaidi pale ukumbini pesa zao zimeenda kihalali.
Marefa siku ya leo walikua fair, kwa maoni yangu tumeshindwa na kushinda kihalali. Pongezi nyingi kwa Ibra kwa kutupa pambano zuri saaana, waandaaji na Azam media kwa promo iliyojenga hamasa kwa wengi, nikiwepo mimi.
Boxing tanzania kuna vipaji vya kweli na wanajituma wakitokea wadhamini wa kweli
Bongo tutawatoa wakina myweather kama 100
Sema mijitu huku imengangania kwenye soka tu
Wachezaji wenyewe wanabebwa hawabebeki
Hance Mtanashati
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ngoja nifanye hivyo mkuu.Litafute pambano lake na Ngoma kutoka Zambia.Ibra ni boxer mzuri sana mapambano yake hayaboi full burudani.
Pole sana mkuu, Ibra alishinda kwa points.Sasa si mtupe matokeo sisi ambao hatukufuatilia hilo pambano kutokana na sababu mbalimbali na zilizo nje ya uwezo wetu!!!
Sanaa yaani hawa wacheza mpira licha ya kupewa support kubwa lkn hawana juhudiBOXING IKIPTA WAKWEKEZAJI BONGO TUTAKUWA VINARA DUNIANI KWA UPANDE WA BOXING KAMA ILIVYO KENYA UPANDE WA MARATHONI
Boxing tanzania kuna vipaji vya kweli na wanajituma wakitokea wadhamini wa kweli
Bongo tutawatoa wakina myweather kama 100
Sema mijitu huku imengangania kwenye soka tu
Wachezaji wenyewe wanabebwa hawabebeki
Hance Mtanashati
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Katika mchezo ambao wabongo tunauweza na kuumudu kwa kiwango cha hali ya juu ni boxing ila changamoto ipo kwa viongozi hawautilii maanani huu mchezo.Boxing tanzania kuna vipaji vya kweli na wanajituma wakitokea wadhamini wa kweli
Bongo tutawatoa wakina myweather kama 100
Sema mijitu huku imengangania kwenye soka tu
Wachezaji wenyewe wanabebwa hawabebeki
Hance Mtanashati
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app