Ibra wa Konde gang anahitaji msaada wa haraka

Ibra wa Konde gang anahitaji msaada wa haraka

PACHOTO

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2011
Posts
1,321
Reaction score
973
Kwenye kipindi cha xxl cha leo kilichorushwa moja kwa moja kutoka Konde gang Hq ameoneka IBRA. Ila kusema ukweli anyone kana hana furaha, nuru ipotea, na mawazo mengi yaani kwa ujumla yupo yupo tu, Kijana anaguraji msaada wa haraka kuna mazito anayapitia kwa sasa ila haiwekwi wazi tu
 
Dogo bosi wake ndiye anaye mrudisha nyuma,hawana ratiba ya kuachia nyimbo wala kuzifanyia promo. Dogo dogo akiachia nyimbo moja boss anaachia tatu,mara akisikia huku boss wa zamani wake kaachia nyimbo anachia album,msanii wake akitoa album nae anatoa album. Nyimbo hazipewi nafasi wala airtime ya kutosha,dogo sasa hivi hata Phina wa juzi kampita.

Label inaongozwa kisela na kibangebange na si kibiashara, dogo mpaka sasa bado yupo level za msanii chipukizi.
 
Dogo bosi wake ndiye anaye mrudisha nyuma,hawana ratiba ya kuachia nyimbo wala kuzifanyia promo. Dogo dogo akiachia nyimbo moja boss anaachia tatu,mara akisikia huku boss wa zamani wake kaachia nyimbo anachia album,msanii wake akitoa album nae anatoa album. Nyimbo hazipewi nafasi wala airtime ya kutosha,dogo sasa hivi hata Phina wa juzi kampita.

Label inaongozwa kisela na kibangebange na si kibiashara, dogo mpaka sasa bado yupo level za msanii chipukizi.
👍👍👍👍👍 Umehit mule mule yaani
 
Ibrah ni moja ya best talent haswa kwenye uandishi hivyo, sidhani kama harmo anaweza kumuachia kirahisi..
 
Dogo bosi wake ndiye anaye mrudisha nyuma,hawana ratiba ya kuachia nyimbo wala kuzifanyia promo. Dogo dogo akiachia nyimbo moja boss anaachia tatu,mara akisikia huku boss wa zamani wake kaachia nyimbo anachia album,msanii wake akitoa album nae anatoa album. Nyimbo hazipewi nafasi wala airtime ya kutosha,dogo sasa hivi hata Phina wa juzi kampita.

Label inaongozwa kisela na kibangebange na si kibiashara, dogo mpaka sasa bado yupo level za msanii chipukizi.
Dead truth.
 
Amani ataitoa wapi wakati Bosi mwenyewe mshamba .. juzi alikuwa anatamba kumlipia kajala milioni 20 ya kumalizia deni la gari... hata we ungekuwa Ibra lazima utalengwa lengwa na machozi!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom