Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Ibrahim Ajibu amezitumikia klabu za Simba na Yanga kwa muda mrefu lakini amekuwa akiongoza " Kupishana na gari la mshahara"
Alikaa sana Simba akicheza soka la mchangani hamu ya kucheza kimataifa hususani klabu bingwa ikamvaa ikabidi kwa nyodo kubwa na dharau aikache Simba aende Yanga ili acheze Kimataifa hasa Klabu Bingwa lakini Kwa bahati mbaya hakufanikiwa kwani Simba ndio waliopata nafasi hiyo hivyo Ibracadabra alipishana na gari la mshahara.
Alipoona mafanikio ya Simba na Kufulia kwa Yanga akaona isiwe tabu akaamua kuwachunia viongozi wa Yanga ili arudi Simba akacheze klabu bingwa lakini ng'ombe wa maskini hazai nako Simba kaambulia patupu maana katika mechi mbili walizoambulia hajakaa hata benchi Ibrakadabra kama kawaida yake " kapishana na gari la mshahara.
Maoni yangu.
Ajibu ana kile waswahili tunaita "kimavi"
Alikaa sana Simba akicheza soka la mchangani hamu ya kucheza kimataifa hususani klabu bingwa ikamvaa ikabidi kwa nyodo kubwa na dharau aikache Simba aende Yanga ili acheze Kimataifa hasa Klabu Bingwa lakini Kwa bahati mbaya hakufanikiwa kwani Simba ndio waliopata nafasi hiyo hivyo Ibracadabra alipishana na gari la mshahara.
Alipoona mafanikio ya Simba na Kufulia kwa Yanga akaona isiwe tabu akaamua kuwachunia viongozi wa Yanga ili arudi Simba akacheze klabu bingwa lakini ng'ombe wa maskini hazai nako Simba kaambulia patupu maana katika mechi mbili walizoambulia hajakaa hata benchi Ibrakadabra kama kawaida yake " kapishana na gari la mshahara.
Maoni yangu.
Ajibu ana kile waswahili tunaita "kimavi"