Ibrahim Bacca anyang'anywe tuzo ya mchezaji bora katika mechi ya leo dhidi ya Prisons

Ibrahim Bacca anyang'anywe tuzo ya mchezaji bora katika mechi ya leo dhidi ya Prisons

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Nitashangaa sana kama TFF hawatamnyang'anya tuzo ya mchezaji bora Ibrahim Bacca aliyoipata katika mchezo wa leo dhidi ya Prisons.

Bacca amepewa credit kwa kufunga goli la 4 ila marejeo ya video yanaonyesha alifunga goli hilo kwa mkono waziwazi kabisa.

Najua mechi imeisha na goli haliwezi kukataliwa tena ila kitendo chake cha kushangilia na kuact kama amefunga goli halali kunamuondolea uhalali wa kupata tuzo ya mchezaji bora. Amekosa spirit ya fair play ambayo ni moja ya misingi ya football.
 
Nitashangaa sana kama TFF hawatamnyang'anya tuzo ya mchezaji bora Ibrahim Bacca aliyoipata katika mchezo wa leo dhidi ya Prisons.

Bacca amepewa credit kwa kufunga goli la 4 ila marejeo ya video yanaonyesha alifunga goli hilo kwa mkono waziwazi kabisa.

Najua mechi imeisha na goli haliwezi kukataliwa tena ila kitendo chake cha kushangilia na kuact kama amefunga goli halali kunamuondolea uhalali wa kupata tuzo ya mchezaji bora. Amekosa spirit ya fair play ambayo ni moja ya misingi ya football.
Goli lilionekana wazi la mkono bila hata picha ya marejeo sema waamuzi wetu ni mashabiki pia

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
amefanya uhuni mkubwa sana, ni aibu kwa Timu mkubwa kama ya yanga.
Anapaswa atoke hadharani na aombe radhi kwa ufanganyifu alioufanya.
Yanga wamejidhalalisha, wamepata ushindi haramu.
Wamepata ushindi haramu? Unajielewa kweli wewe mbumbumbu? Goli Moja la mkono linaathiri vipi magoli 3 mengine yaliyofungwa? Malalamiko yameanza huu ni mwanzo tu mtanyooka!
 
amefanya uhuni mkubwa sana, ni aibu kwa Timu mkubwa kama ya yanga.
Anapaswa atoke hadharani na aombe radhi kwa ufanganyifu alioufanya.
Yanga wamejidhalalisha, wamepata ushindi haramu.
Hii ndio mlio nliko kua nmemis kuisikia
 
Nitashangaa sana kama TFF hawatamnyang'anya tuzo ya mchezaji bora Ibrahim Bacca aliyoipata katika mchezo wa leo dhidi ya Prisons.

Bacca amepewa credit kwa kufunga goli la 4 ila marejeo ya video yanaonyesha alifunga goli hilo kwa mkono waziwazi kabisa.

Najua mechi imeisha na goli haliwezi kukataliwa tena ila kitendo chake cha kushangilia na kuact kama amefunga goli halali kunamuondolea uhalali wa kupata tuzo ya mchezaji bora. Amekosa spirit ya fair play ambayo ni moja ya misingi ya football.
Hatimae vilio vimeanza kulejea taratibu
 
Tafuta kazi kijana kuuonea wivu bacca hakutokuletea ugali mezani.
Ila si kweli goli la mkono mtani ,nilikaa na shabiki wa Utopolo Pro namwambia goli la mkono akaniambia refa mbona kaweka kati nikamwambia yule ni binadamu pia hajakosea yaani mzee ka mind kabisa amekazana kuniambia wewe ndio unaona vizuri kuliko refa nikakaa kimya kuangalia game ya chelsea ,nikakumbuka usemi wa Albino na ningeropoka tu ingekuwa ugomvi
 
Ila si kweli goli la mkono mtani ,nilikaa na shabiki wa Utopolo Pro namwambia goli la mkono akaniambia refa mbona kaweka kati nikamwambia yule ni binadamu pia hajakosea yaani mzee ka mind kabisa amekazana kuniambia wewe ndio unaona vizuri kuliko refa nikakaa kimya kuangalia game ya chelsea ,nikakumbuka usemi wa Albino na ningeropoka tu ingekuwa ugomvi
Usiwe na haraka magoli halali tutawafunga nyie
 
Nitashangaa sana kama TFF hawatamnyang'anya tuzo ya mchezaji bora Ibrahim Bacca aliyoipata katika mchezo wa leo dhidi ya Prisons.

Bacca amepewa credit kwa kufunga goli la 4 ila marejeo ya video yanaonyesha alifunga goli hilo kwa mkono waziwazi kabisa.

Najua mechi imeisha na goli haliwezi kukataliwa tena ila kitendo chake cha kushangilia na kuact kama amefunga goli halali kunamuondolea uhalali wa kupata tuzo ya mchezaji bora. Amekosa spirit ya fair play ambayo ni moja ya misingi ya football.
usiwe na wasi wasi; nimemnyang'anya mimi kwa mkono wangu na kuikimbiza kwa Ateba. Bacca hana tuzo tena, inamilikiwa na Ateba.
 
Utopolo wanapenda kutetea ujinga, Bacca alikuwa na kadi ya njano huenda refa aliona akakausha maana angempa kadi nyekundu.
 
Back
Top Bottom