Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Round ya 6..Saa ngapi hili pambano.. au tulale tukiamka usiku wa manane ndiyo watakuwa wanaanza kupigana.
Huyu mzambia anapigwa lakini hata hatetereki...kama robot vileNani kazidiwa
Yuko fresh ila Ibra amecheza vizuri... Hii anachukua kihalaliHuyu mzambia anapigwa lakini hata hatetereki...kama robot vile
Huyo ngoma anapigana vululuvululu..anapiga makofiiYuko fresh ila Ibra amecheza vizuri... Hii anachukua kihalali