Ibrahim Lipumba na Zitto Kabwe wamejipa likizo, wanasubiri 2030 waibuke mafichoni?

Ibrahim Lipumba na Zitto Kabwe wamejipa likizo, wanasubiri 2030 waibuke mafichoni?

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Lipumba na Cuf yake walikuwa wa moto sana kipindi cha Mkapa, kulituhumiwa kuwa chama chenye mrengo wa dini ya kiislam, walimpelekesha Mkapa kwelikweli akateua muislam Omary Maita kuwa IGP ngangari kwa nginguri.

Alivyoingia Kikwete madarakani CUF ikajifia hswakuwa na agenda tena ,maana lengo lao la kuwa na Rais muislam lilitimia,.

Zitto Kabwe aliibuka kipindi cha Kikwete ila alikuwa makini sana kumkosoa Rais yeye aliwakisia mawaziri tu,kwa ufupi alikuwa rafikiwa Kikwete.

Enzi za mwanzomwanzo za kuibuka kwa Jakaya Kikwete alionheza middle name Mrisho i kujitofautisha na Jackson Makweta

Ukiwaona Mzuzuri baafa ya kukosa kura miaka ya 80 akaongeza middle names Ramadhani Mwinyishehe akashinda ubunge

Zitto Kabwe smeshakabidhiwa j8mbo huko kigoma anasubiri kuapishwa tu 2025.

Lipumba mbili haikai,tatu haikai Anatamani 2030 ifike kesho aanze siasa.
 
Lipumba na Cuf yake walikuwa wa moto sana kipindi cha Mkapa,

Alivyoingia Kikwete madarakani CUF ikajifia hawakuwa na agenda tena ,maana lengo lao la kuwa na Rais muislam lilitimia,.

Zitto Kabwe aliibuka kipindi cha Kikwete ila alikuwa makini sana kumkosoa Rais yeye aliwakisia mawaziri tu,kwa ufupi alikuwa rafikiwa Kikwete.

Zitto Kabwe smeshakabidhiwa j8mbo huko kigoma anasubiri kuapishwa tu 2025.

Lipumba mbili haikai,tatu haikai Anatamani 2030 ifike kesho aanze siasa.
Ukiona hivyo hawa ndio wanasiasa wanaojua siasa za kweli Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030!
P
 
Lipumba na Cuf yake walikuwa wa moto sana kipindi cha Mkapa, kulituhumiwa kuwa chama chenye mrengo wa dini ya kiislam, walimpelekesha Mkapa kwelikweli akateua muislam Omary Maita kuwa IGP ngangari kwa nginguri.

Alivyoingia Kikwete madarakani CUF ikajifia hswakuwa na agenda tena ,maana lengo lao la kuwa na Rais muislam lilitimia,.

Zitto Kabwe aliibuka kipindi cha Kikwete ila alikuwa makini sana kumkosoa Rais yeye aliwakisia mawaziri tu,kwa ufupi alikuwa rafikiwa Kikwete.

Enzi za mwanzomwanzo za kuibuka kwa Jakaya Kikwete alionheza middle name Mrisho i kujitofautisha na Jackson Makweta

Ukiwaona Mzuzuri baafa ya kukosa kura miaka ya 80 akaongeza middle names Ramadhani Mwinyishehe akashinda ubunge

Zitto Kabwe smeshakabidhiwa j8mbo huko kigoma anasubiri kuapishwa tu 2025.

Lipumba mbili haikai,tatu haikai Anatamani 2030 ifike kesho aanze siasa.
2025 mavuno yanaanza !
 
Lipumba na Cuf yake walikuwa wa moto sana kipindi cha Mkapa, kulituhumiwa kuwa chama chenye mrengo wa dini ya kiislam, walimpelekesha Mkapa kwelikweli akateua muislam Omary Maita kuwa IGP ngangari kwa nginguri.

Alivyoingia Kikwete madarakani CUF ikajifia hswakuwa na agenda tena ,maana lengo lao la kuwa na Rais muislam lilitimia,.

Zitto Kabwe aliibuka kipindi cha Kikwete ila alikuwa makini sana kumkosoa Rais yeye aliwakisia mawaziri tu,kwa ufupi alikuwa rafikiwa Kikwete.

Enzi za mwanzomwanzo za kuibuka kwa Jakaya Kikwete alionheza middle name Mrisho i kujitofautisha na Jackson Makweta

Ukiwaona Mzuzuri baafa ya kukosa kura miaka ya 80 akaongeza middle names Ramadhani Mwinyishehe akashinda ubunge

Zitto Kabwe smeshakabidhiwa j8mbo huko kigoma anasubiri kuapishwa tu 2025.

Lipumba mbili haikai,tatu haikai Anatamani 2030 ifike kesho aanze siasa.
Kama Abduli alimfwata Lissu akakataa unafikiri jitu lilafi kama Lipumba litakataa? Au mtu mchawi na mdini kama Zitto atakataa?
 
Nadhani 2030 Lipumba umri utakuwa umeshaenda! Labda ZZK
 
2030 Lipumba atakuwa amezeeka sana. Zile Kashkash za Ngangari kinoma ziliishia kipindi cha Mahita.
 
Lipumba na Cuf yake walikuwa wa moto sana kipindi cha Mkapa, kulituhumiwa kuwa chama chenye mrengo wa dini ya kiislam, walimpelekesha Mkapa kwelikweli akateua muislam Omary Maita kuwa IGP ngangari kwa nginguri.

Alivyoingia Kikwete madarakani CUF ikajifia hswakuwa na agenda tena ,maana lengo lao la kuwa na Rais muislam lilitimia,.

Zitto Kabwe aliibuka kipindi cha Kikwete ila alikuwa makini sana kumkosoa Rais yeye aliwakisia mawaziri tu,kwa ufupi alikuwa rafikiwa Kikwete.

Enzi za mwanzomwanzo za kuibuka kwa Jakaya Kikwete alionheza middle name Mrisho i kujitofautisha na Jackson Makweta

Ukiwaona Mzuzuri baafa ya kukosa kura miaka ya 80 akaongeza middle names Ramadhani Mwinyishehe akashinda ubunge

Zitto Kabwe smeshakabidhiwa j8mbo huko kigoma anasubiri kuapishwa tu 2025.

Lipumba mbili haikai,tatu haikai Anatamani 2030 ifike kesho aanze siasa.
Lupumba age imekataa
 
Zitto Kabwe smeshakabidhiwa j8mbo huko kigoma anasubiri kuapishwa tu 2025.
Amestaafu siasa za mstari wa mbele nadhani. Ndiyo maana aliachia ukuu wa Chama. Kwa hiyo, sidhani kama tagombea jimbo
 
Back
Top Bottom