ibrahim masoud(maestro) wa clouds fm atoa shutuma nzito kwa.....

ndivo mlivo...unafiki ndio tabia yenu, mmerithi kutoka kwa yuleyule....na ndomana hamnaga maendeleo...hapo next step ni kwenda kwa mganga hahahahahah :baby::baby::baby::baby:

Masoud vs mahmoud nani mnafki
 
Mimi hapo nimeona moja tu,Ngoja ramadhani iishe,masikini ndugu zetu, halafu wanasema waislamu wanaonewa eti jela zimejaa waisilamu...
 
Maestro namheshimu sana,maneno kama hayo yameharibu taswira nzuri aliyokuwa nayo.angejibu hoja tu na si lugha za kimtaani kihivyo! Hawa ndio watu wa mpira!

Well said. Nami nilikua namwamini sana Maestro wakiwa na Shaffi Dauda, ni shabiki wa kipindi chao, lakini maneno aliyoandika, hata kama ni reaction yana nipa mashaka na elimu yake. Ongeza shule Maestro mana unaoekana ni bomu kabisa. Hivi Clouds wanatumia vigezo gani kuajiri? Halafu anajiita "kijana wa kiislamu". Hamaa kweli ndio mana wanagomea sensa!
 
mkuu usisahau na kitimoto hua inadoda sana kipindi hiki!,
hata madam spika wakati akiahirisha bunge juzkati kasema mwezi huu mtukufu umesaidia kidogo kuleta utulivu mjengoni!, hahahaaaa.
 
Kisa cha Maestro kupandwa na jazba namna hiyo ni nini?
 
Mimi hapo nimeona moja tu,Ngoja ramadhani iishe,masikini ndugu zetu, halafu wanasema waislamu wanaonewa eti jela zimejaa waisilamu...

Wewe na wenzako wote mnaoushambulia uislam na waislam wote kwa kauli ya huyo bwana mna tofauti gani nae?? Yaani unaweza kukashifu waislam wote kwa jili ya kauli ya Maestro sijui? Hili tatizo la udini especialy kuchukia Waislam na Uislam linawatesa sana!
 

Ngoja ramadan iishe kudadeki,liwalo na liwe!
 
Mahmoud zubery mwandishi(mhariri) wa gazeti la dimba
Ameacha Dimba sasa hivi anaendesha blog yake ya Bin Zubery. huyu jamaa kwa kweli amezoea sana kuwatukana waandishi wenzake kwenye magazeti kila kitu yeye anajifanya anajua, aliingia mjini kama mpiga picha wa kujitegemea na kisha akataka kuingia kwenye ubondia bahati nzuri kupiga picha kukamuokoa na kumuingiza kwenye gazeti la Mfanyakazi kama kibarua, hana elimu ni zumbukuku, miye naona ni sawasawa kwa Maestro kumfanyia hivyo labda atabadirika.
 

Mbona kama mipasho vile...!!
 
Huyo Bw. Maestro anajitapaje kuwa anaweza kuendesha klabu yeyote ilhali mtu mmoja tu amemfanya aache jazba itawale akili yake?
 
Nilijua tu kama iko siku Mahmoud atagusa mahala pabaya.
Ona sasa ile siri uliyotuomba sana tusiivujishe imeshawekwa hadharani na Maestro!
Ukiwa kwenye jumba la vioo usipende kurushia watu mawe, au ulisahau kama Maestro alikuwepo Kampala wakati ule ulipogongwa na wale wanachuo baada ya kulewa?
 
Hili beef nalifananisha na la dudu baya na mr nice!maestro na zubery watakuwa wanagombea basha haiwezekani watoto wa kiume ugomvi wao wakaweka katika media!!!kama wangekuwa wa kiume kweli wangetafutana wapeana nakoz waheshimiane siyo mipasho na kutoleana siri zao za kugongwa ngozi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…