Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Hakika wananchi wa Burkina Faso wanabubujikwa na machozi kwa rais mzalendo waliyenpata🙂.
Ndani ya muda mfupi Ibrahim Traore ameonyesha kwa vitendo nia yake ya kuikonboa nchi yake kutoka kwenye umaskini.
Ameanza ujenzi wa refinery kubwa ya dhahabu yenye uwezo wa kusafisha tani 150 kwa mwaka. Hii ni kuiongezea thamani dhahabu nyingi wanayozalisha.
Amekataa kununuliwa viete na kubaki kutembelea defender ya mwaka 2001.
Amekata asilimia 30 ya mishahara ya mawaziri na kuongezea wafanyakazi wadogo mshahara kwa asilimi 50.
Amenunua matreka 400, pump za umwagiliaji na power tillers kwa ajili ya wananchi vijijini.
Ameanza ujenzi wa bwawa kubwa kwa ajili ya umwagiliaji, maji kwa wtu na kuzalisha umeme.
Anafanya ukarabati mkubwa wa uwanja wa ndege wa Wagadugu.
Anajenga barabara za lami na SGR kuelekea mpaka Ivory Coast.
Kuwa dikteta haiguarantee kuwa utaleta maendeleo, ndiyo maana Blaise Compaore hakufanya chochote cha maana, lakini maendeleo hayawezi kupatikana kama kiongozi siyo dikteta.
Ndani ya muda mfupi Ibrahim Traore ameonyesha kwa vitendo nia yake ya kuikonboa nchi yake kutoka kwenye umaskini.
Ameanza ujenzi wa refinery kubwa ya dhahabu yenye uwezo wa kusafisha tani 150 kwa mwaka. Hii ni kuiongezea thamani dhahabu nyingi wanayozalisha.
Amekataa kununuliwa viete na kubaki kutembelea defender ya mwaka 2001.
Amekata asilimia 30 ya mishahara ya mawaziri na kuongezea wafanyakazi wadogo mshahara kwa asilimi 50.
Amenunua matreka 400, pump za umwagiliaji na power tillers kwa ajili ya wananchi vijijini.
Ameanza ujenzi wa bwawa kubwa kwa ajili ya umwagiliaji, maji kwa wtu na kuzalisha umeme.
Anafanya ukarabati mkubwa wa uwanja wa ndege wa Wagadugu.
Anajenga barabara za lami na SGR kuelekea mpaka Ivory Coast.
Kuwa dikteta haiguarantee kuwa utaleta maendeleo, ndiyo maana Blaise Compaore hakufanya chochote cha maana, lakini maendeleo hayawezi kupatikana kama kiongozi siyo dikteta.