Ibrahimu Bacca ni vazi Pendwa kwenye kabati la Gamond, ashauriwe ampunzishe Ibrahimu Bacca Kama wachezaji wengine

Ibrahimu Bacca ni vazi Pendwa kwenye kabati la Gamond, ashauriwe ampunzishe Ibrahimu Bacca Kama wachezaji wengine

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Naam! Nitakua mnafiki Kama sijasifia kiwango Ibrahimu Bacca hakika huyu ni Beki na Aliyemuona Bacca na kumsajili Yanga Sc kwa kweli ana jicho la kuona talent naye anastahili sifa.

Bwana Mdogo kafanya kazi kubwa sana kwenye Michuano ya kimataifa haswa kwenye Mechi Ya Mamelody Fc na Yanga huyu kijana kuonesha ukomavu wa Hali ya juu, washambuliaji wa Mamelody akiwemo Shalulile alifichwa kwenye kwapa na bwana Mdogo Ibrahimu Bacca.

Mechi ya Dodoma kwenye kombe la crdb bwana mdogo alipiga kazi kubwa sana mapaka nikawa naomba Gamond Ampumnzishe Ibrahimu Bacca Maana Kubwa mfululizo siku akija kuchoka atachoka mazima.

NALIA NGWENA kila Nikichungulia kikosi kwenye mechi za Yanga Sc Bacca hakosi, nichukue Fursa hii kulishauri Benchi la ufundi la Yanga Sc Kumpa muda wa kupumnzika bwana mdogo Ibrahimu Bacca ili kuepusha kuchoka mazima.

Ibrahimu Bacca ni vazi Pendwa kwenye kabati la Miguel Gamond kila siku analivaa pasipo kutazama kuwa litachuja au litachanika, apewe ushauri kuhusu kupumnzishwa kwa Ibrahimu Bacca.
 
Yah nadhani mechi ijayo hatacheza ila shida ni uhitaji wa ushindi unakuwa mkubwa sana
Mechi ya Jana ilikuwa ya mtoano unaweza kajichanganya mkafika penalty
Mechi na Mamelody hapakuwa na namna hapo nadhani wamepeana rotation na Job
 
Kweli jamaa anapiga kazi! Sasa kwa hizi tuhuma za Mayele kwamba alipewa mkataba wa kimagumashi, naogopa Bacca asiwe anavuta pesa ya kitoto pale Yanga, mana Wazanzibar huwa hawana baya, wao ni kazi tu hata kama anaonewa!

Bacca anatakiwa avute pesa ndefu pale Yanga kwa kipindi hiki anachotumia nguvu nyingi kucheza, kama ipo hivyo, basi ni jambo la kheri. Kwa sababu siku akichoka, ndiyo nitolee na akirudi kwenye uaskari labda atakuwa anashinda mapokezi kwa sababu ya mwili kuchoka.
 
Yah nadhani mechi ijayo hatacheza ila shida ni uhitaji wa ushindi unakuwa mkubwa sana
Mechi ya Jana ilikuwa ya mtoano unaweza kajichanganya mkafika penalty
Mechi na Mamelody hapakuwa na namna hapo nadhani wamepeana rotation na Job
Itakuwa poa sana
 
Kweli jamaa anapiga kazi! Sasa kwa hizi tuhuma za Mayele kwamba alipewa mkataba wa kimagumashi, naogopa Bacca asiwe anavuta pesa ya kitoto pale Yanga, mana Wazanzibar huwa hawana baya, wao ni kazi tu hata kama anaonewa!

Bacca anatakiwa avute pesa ndefu pale Yanga kwa kipindi hiki anachotumia nguvu nyingi kucheza, kama ipo hivyo, basi ni jambo la kheri. Kwa sababu siku akichoka, ndiyo nitolee na akirudi kwenye uaskari labda atakuwa anashinda mapokezi kwa sababu ya mwili kuchoka.
Mayele anaituhumu Yanga kwa kumroga. Kuhusu mkataba wa kimagumashi kaituhumu timu yake ya sasa ambayo ni pyramids FC. Jamaa ni kama ajielewi huyu na anaonesha ni mjinga kiasi gani.
 
Mayele anaituhumu Yanga kwa kumroga. Kuhusu mkataba wa kimagumashi kaituhumu timu yake ya sasa ambayo ni pyramids FC. Jamaa ni kama ajielewi huyu na anaonesha ni mjinga kiasi gani.
HIZO NI PROPAGANDA TU MZEE
 
Naam! Nitakua mnafiki Kama sijasifia kiwango Ibrahimu Bacca hakika huyu ni Beki na Aliyemuona Bacca na kumsajili Yanga Sc kwa kweli ana jicho la kuona talent naye anastahili sifa.

Bwana Mdogo kafanya kazi kubwa sana kwenye Michuano ya kimataifa haswa kwenye Mechi Ya Mamelody Fc na Yanga huyu kijana kuonesha ukomavu wa Hali ya juu, washambuliaji wa Mamelody akiwemo Shalulile alifichwa kwenye kwapa na bwana Mdogo Ibrahimu Bacca.

Mechi ya Dodoma kwenye kombe la crdb bwana mdogo alipiga kazi kubwa sana mapaka nikawa naomba Gamond Ampumnzishe Ibrahimu Bacca Maana Kubwa mfululizo siku akija kuchoka atachoka mazima.

NALIA NGWENA kila Nikichungulia kikosi kwenye mechi za Yanga Sc Bacca hakosi, nichukue Fursa hii kulishauri Benchi la ufundi la Yanga Sc Kumpa muda wa kupumnzika bwana mdogo Ibrahimu Bacca ili kuepusha kuchoka mazima.

Ibrahimu Bacca ni vazi Pendwa kwenye kabati la Miguel Gamond kila siku analivaa pasipo kutazama kuwa litachuja au litachanika, apewe ushauri kuhusu kupumnzishwa kwa Ibrahimu Bacca.
hayakuhusu
 
Mzize vip
FB_IMG_1712774823238.jpg
 
Naam! Nitakua mnafiki Kama sijasifia kiwango Ibrahimu Bacca hakika huyu ni Beki na Aliyemuona Bacca na kumsajili Yanga Sc kwa kweli ana jicho la kuona talent naye anastahili sifa.

Bwana Mdogo kafanya kazi kubwa sana kwenye Michuano ya kimataifa haswa kwenye Mechi Ya Mamelody Fc na Yanga huyu kijana kuonesha ukomavu wa Hali ya juu, washambuliaji wa Mamelody akiwemo Shalulile alifichwa kwenye kwapa na bwana Mdogo Ibrahimu Bacca.

Mechi ya Dodoma kwenye kombe la crdb bwana mdogo alipiga kazi kubwa sana mapaka nikawa naomba Gamond Ampumnzishe Ibrahimu Bacca Maana Kubwa mfululizo siku akija kuchoka atachoka mazima.

NALIA NGWENA kila Nikichungulia kikosi kwenye mechi za Yanga Sc Bacca hakosi, nichukue Fursa hii kulishauri Benchi la ufundi la Yanga Sc Kumpa muda wa kupumnzika bwana mdogo Ibrahimu Bacca ili kuepusha kuchoka mazima.

Ibrahimu Bacca ni vazi Pendwa kwenye kabati la Miguel Gamond kila siku analivaa pasipo kutazama kuwa litachuja au litachanika, apewe ushauri kuhusu kupumnzishwa kwa Ibrahimu Bacca.
Ngoja kijana atumike ipasavyo, manake msimu ukiisha Yanga wanajipigia hela anaenda zake Misri.
 
Acha bwamdogo apate game time. ndoto ya kila mchezaji ni kucheza mechi nyingi zaidi. ndo anakuwa njema zaidi
 
Kweli jamaa anapiga kazi! Sasa kwa hizi tuhuma za Mayele kwamba alipewa mkataba wa kimagumashi, naogopa Bacca asiwe anavuta pesa ya kitoto pale Yanga, mana Wazanzibar huwa hawana baya, wao ni kazi tu hata kama anaonewa!

Bacca anatakiwa avute pesa ndefu pale Yanga kwa kipindi hiki anachotumia nguvu nyingi kucheza, kama ipo hivyo, basi ni jambo la kheri. Kwa sababu siku akichoka, ndiyo nitolee na akirudi kwenye uaskari labda atakuwa anashinda mapokezi kwa sababu ya mwili kuchoka.
Bacca anasimamiwa na JASMINE Nina imani MKATABA wake utakua mnono
 
Back
Top Bottom