Ibungo club Kimara Bucha imekuwa kanisa{kanisa la toba}

Ibungo club Kimara Bucha imekuwa kanisa{kanisa la toba}

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Wakati wa Mungu ukifika hakuna apingaye aiseeeee, kuna Mh mmoja alisema hizo club na kumbi za starehe mtageuza makanisa nimepita ibungo club ya pale bucha florid duh baada ya muda mrefu kutopita njia hio naona chata kubwa.

KANISA LA TOBA

Mungu azidi kuimidiwa na kutangazwa popooteeeeee

Sema Amina Radi
 
Duh, hapo tushapiga sana masanga

Ilikuwa ukitoka hawaii unahamia ibungo

Duh leo pamekuwa kanisa

Ova
 
Duh, hapo tushapiga sana masanga

Ilikuwa ukitoka hawaii unahamia ibungo

Duh leo pamekuwa kanisa

Ova


mpwaa pale acha tu kama dhambi zilizaliwa basi zilizanzia kmr zikanda sinza
kwema woteee
 
kilichonifurahisha zaidi jina la kanisa

KANISA LA TOBA nahisi jamaa aanaishi maeneo hayo akaaona isiwe taabu apige maombi hatimae ikafungwa ..lazma nkasali wiiki hii pale nitubu
kwikwiwkwi
 
Duh, hapo tushapiga sana masanga

Ilikuwa ukitoka hawaii unahamia ibungo

Duh leo pamekuwa kanisa

Ova

Pale pana story zake nyingi, majuzi nilienda kupiga maji ibungo ya maziwa kule kuelekea mabibo, japo vibe lao sikulielewa niliona watoto watoto na mabishoo ndio wengi
 
Back
Top Bottom