Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Iko wapiIt's local bar Lakini naenjoy sana jamani, Kuna vibe fulani amazing jamani, kama Kuna mwana jf anyooshe mkono nanunua chochote.
Furaha ni kunywa na marafiki, furaha kulewa na marafiki.
Sisi ni walevi.
Bar ina kelele sana hiyo upepo ukvuma mpaka uku luhanga inaskika sema vibe sana pale ila asilimia 60 watoto wa chuo cha nitIt's local bar Lakini naenjoy sana jamani, Kuna vibe fulani amazing jamani, kama Kuna mwana jf anyooshe mkono nanunua chochote.
Furaha ni kunywa na marafiki, furaha kulewa na marafiki.
Sisi ni walevi.
Njoo mkuuNdo mnatupigia kelele hapa mabibo mwisho relini. Pumbafyu sana
Mabibo reliniIko wapi
Hakuna bar hata moja hapa mjini ambayo iko dominated na wanachuo kwa hata 30%Bar ina kelele sana hiyo upepo ukvuma mpaka uku luhanga inaskika sema vibe sana pale ila asilimia 60 watoto wa chuo cha nit
Ni kuendana na muda au msimu kuanzia mwez wa 11 nenda ibungu raia wawili wanachuo watatuHakuna bar hata moja hapa mjini ambayo iko dominated na wanachuo kwa hata 30%
Duuh mabibo relini siku hizi ni salama ? Hongereni sanaMabibo relini
Kuna dude linaitwa miranda hapo lina saloon mitaa iyo mabibo limenona sana,ukikaa vibaya unaweza ingia 18.It's local bar Lakini naenjoy sana jamani, Kuna vibe fulani amazing jamani, kama Kuna mwana jf anyooshe mkono nanunua chochote.
Furaha ni kunywa na marafiki, furaha kulewa na marafiki.
Sisi ni walevi.
Limeunganishwa na 3kv?Kuna dude linaitwa miranda hapo lina saloon mitaa iyo mabibo limenona sana,ukikaa vibaya unaweza ingia 18.
Sibabaishwi na vitu hivyoKuna dude linaitwa miranda hapo lina saloon mitaa iyo mabibo limenona sana,ukikaa vibaya unaweza ingia 18.
Njoo basiiIbungu kama ibungu mwalamsha !!!?
Usalama asilimia mia kwakuwa sipo kwa miguu, kubwa zaidi...................Duuh mabibo relini siku hizi ni salama ? Hongereni sana
Kwa biti kaenga?Bar ina kelele sana hiyo upepo ukvuma mpaka uku luhanga inaskika sema vibe sana pale ila asilimia 60 watoto wa chuo cha nit