Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu(ICC)yenye Makao yake huko The Hague-Uholanzi imemruhusu Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kutohudhuria Vikao vyote vya ICC ambavyo ataona vinaingiliana na Majukumu yake kama Rais.Awali ICC ilimkatalia Ombi la kutohudhuria baadhi ya Vikao.Marekani wamekosoa uamuzi huo.
Source;BBC.
Source;BBC.