Mahakama ya Uhalifu wa Kivita(ICC)yenye Makao yake huko The Hague-Uholanzi imemruhusu Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kutohudhuria Vikao vyote vya ICC ambavyo ataona vinaingiliana na Majukumu yake kama Rais.Awali ICC ilimkatalia Ombi la kutohudhuria baadhi ya Vikao.Marekani wamekosoa uamuzi huo.
Source;BBC.
Hiyo bado haiondoi kesi kuendelea na kutiwa hatiani ikiwa atathibitika kuwa na makosa. Bado kitanzi kiko palepale, kwani asipohudhuria mawakili lazima wawepo.
Kwa Kiswahili ni Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (International Criminal Court) na si Mahakama ya Uhalifu wa Kivita (Court of War Crime)