Wanajamii naomba kwa mwenye taarifa juu ya nafasi ya IT Technician anitaarifu.
Nimemaliza form six, na nimefanya kozi ya CISCO PC HADWARE &SOFTWARE.
Nipo Dom no: +255765 295639
Tembelea mara kwa mara humu humu (jf) utapata chance,maana mara kwa mara nafasi zimekuwa zikitangazwa sana ila uombe Mungu pia maana haya mambo huwa ni magumu sometimes usipo mshirikisha Yesu.