HayaMbona hujataja wale uliokuwa unawatongoza ulipokuwa unatumia ID ya Mondray?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya
Paprika
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Babu yangu alikuwa na kaneno kake ka kiswahili alokuwa akipenda kunambia kama mjukuu wake, alikuwa akinambia eti: "Oportunity never come twice". Sijui alichokuwa akimaanisha ila sitaki kupoteza bahati maana haijagi mara mbili kwa iyo natumia hii fursa
Dada wa Mume ni mume.
Wee sasa kama hajarithi kwa shangazi karithi wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa namwambia "nitolee ukorofi kama wa shangazi yako hapa"[emoji23][emoji23]Uwiiii unanisingizia...mpole hivi mm jmn
Nataman kumuita kaka akuthibitishie ila bas tu
Babu yangu alikuwa na kaneno kake ka kiswahili alokuwa akipenda kunambia kama mjukuu wake, alikuwa akinambia eti: "Oportunity never come twice". Sijui alichokuwa akimaanisha ila sitaki kupoteza bahati maana haijagi mara mbili kwa iyo natumia hii fursa
Mambo mrembooooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu rol modo Mtoto halali na hela, nimesha msalimia bidada kinacho fuatia nini?
Wozaaaaaaa Extra milesExtra miles
Nyani ngabu
Hazchem plate
Zero IQ
Viatu vya fishi
Mbao za mawe
Inha
Mixologist
Na wengineo wengi......
🙏🙏
hahahahha kama wa wajomba zake nahisWee sasa kama hajarithi kwa shangazi karithi wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa namwambia "nitolee ukorofi kama wa shangazi yako hapa"[emoji23][emoji23]
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.