ID ya mwana JF unayo ikubali

Mambo mrembooo unaanza kama hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
Babu yangu alikuwa na kaneno kake ka kiswahili alokuwa akipenda kunambia kama mjukuu wake, alikuwa akinambia eti: "Oportunity never come twice". Sijui alichokuwa akimaanisha ila sitaki kupoteza bahati maana haijagi mara mbili kwa iyo natumia hii fursa

Mambo mrembooooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwiiii unanisingizia...mpole hivi mm jmn


Nataman kumuita kaka akuthibitishie ila bas tu
Wee sasa kama hajarithi kwa shangazi karithi wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa namwambia "nitolee ukorofi kama wa shangazi yako hapa"[emoji23][emoji23]

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
Wee sasa kama hajarithi kwa shangazi karithi wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa namwambia "nitolee ukorofi kama wa shangazi yako hapa"[emoji23][emoji23]

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
hahahahha kama wa wajomba zake nahis
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…