Idada ya wanafunzi ni kweli?

zagarinojo

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2020
Posts
2,622
Reaction score
2,846
Shule za Primary na Sekondari huwa zina wanafunzi wengi wa kiume kuliko wa kike lakini Vyuoni kuna wanafunzi wengi wa kike kuliko wa kiume ni sawa au?
 
Nadhani shule za sekondari na za msingi zina idadi kubwa ya wasichana kuliko wavulana.Na vyuo vikuu wavulana ndio wengi.
 
Shule ya msingi na sekondari tuligombania wasichana ila chuoni wenzangu wakagombaniwa mimi napitwa tu.
Maisha tu haya😩😩😩😥
 
Nadhani shule za sekondari na za msingi zina idadi kubwa ya wasichana kuliko wavulana.Na vyuo vikuu wavulana ndio wengi.
Ila kwa shule ambazo nimesoma mm wavulana tulikuwa wengi kuliko wasichana
 
Shule za primary na sekondari huwa zina wanafunzi wengi wa kiume kuliko wa kike lakini vyuoni kuna wanafunzi wengi wa kike kuliko wa kiume ni sawa au?
Ni kweli kwasababu
1. Vyuo ni vichache ukilinganisha na idadi ya Vyuo.
2. Wanaoomba kuingia vyuoni hutokea maeneo mengi zaidi.
Wapo wafanyakazi pia, waliotokea Vyuo vya kati n.k.
 
Njoo hapa mbeya university ke n chache na me n nyngi mno yan kama secondary
 
Hivi kumbe nimezeeka?Sioni la kuchangia nawaza sukari na ada za "girls and boy scouts" wangu hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…