chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Tunashukuru Wachina kutufikisha vyombo vya moto kama pikipiki. Ila ni moja la janga kubwa katika taifa kuanzia kwenye matumizi yake kufikia kujiingiza kwenye hualifu, uporaji kwa kutumia chombo chenyewe, uporaji wa pikipiki na mauaji yake, ajali za pikipiki na n.k
Tuje kwenye matumizi ya barabara ndio tatizo kubwa. Yani magari yameongoza kubomolewa na pikipiki kuliko kupata ajali zake.
Asilimia watumia pikipiki hujikuta muda wote wao hawana makosa sehemu yoyote hata kama katenda.
Wimbi kubwa la watumia pikipiki za Mchina ni wabishi, wakorofi, wajeuri, sio watu wabusara ndio maana ukienda kituoni unaweza kukuta pikipiki ni nyingi kuliko hata magari yaliyo kuwa na makosa.
Asilimia kubwa waendesha pikipiki hawana leseni.
Serikali kusaidia hili.
Tuje kwenye matumizi ya barabara ndio tatizo kubwa. Yani magari yameongoza kubomolewa na pikipiki kuliko kupata ajali zake.
Asilimia watumia pikipiki hujikuta muda wote wao hawana makosa sehemu yoyote hata kama katenda.
Wimbi kubwa la watumia pikipiki za Mchina ni wabishi, wakorofi, wajeuri, sio watu wabusara ndio maana ukienda kituoni unaweza kukuta pikipiki ni nyingi kuliko hata magari yaliyo kuwa na makosa.
Asilimia kubwa waendesha pikipiki hawana leseni.
Serikali kusaidia hili.