Idadi ya ndoa zinazovunjika kwa mwezi Dar es Salaam inatisha: Utafiti waonesha 300, Kila Siku 10

Idadi ya ndoa zinazovunjika kwa mwezi Dar es Salaam inatisha: Utafiti waonesha 300, Kila Siku 10

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Daniel Marandu, Mhadhiri Msaidizi katika Idara ya Saikolojia ya Elimu, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akizungumza kwenye Kongamano la Mahusiano ya DADAZ kipindi cha EATV linalofanyika leo, Mbezi Garden Hotel amesema utafiti wa mwaka juzi unaeleza kuwa Dar es Salaam kwa mwezi zilikuwa zinavunjika ndoa 300.

"Tafiti zinasema ndoa zinavunjika kuanzia mwaka mmoja mpaka mitatu ndio maana mtu/watu wakifikisha miaka mitano katika ndoa wape hongera maana sio mchezo"

"Tafiti ya mwaka juzi ya Dar es Salaam ilikua unasema kwa mwezi zilikuwa zinavunjika ndoa 300, ina maana kwa siku ndoa 10 zinavunjika"
1733491512620.png
 
SIO LAZIMA KUFUNGA NDOA MIAKA YA SASA... NDOA ZIMEKUWA SI MAHALI SALAMA KWA JINSIA ZOTE
 
Hali inatisha mwanamke anataka ndoa akiwa na record zifuatazo

Body count - 30 Men
Abortion - 4 times
P2- Countless

Huyu akifikia kwenye retirement plan atatafuta simp wake ambaye atamfichia hizi record zake zote aingie kwenye ndoa na status mpya ( Mke wa mtu)
 
Wakuu

Daniel Marandu, Mhadhiri Msaidizi katika Idara ya Saikolojia ya Elimu, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akizungumza kwenye Kongamano la Mahusiano ya DADAZ kipindi cha EATV linalofanyika leo, Mbezi Garden Hotel amesema utafiti wa mwaka juzi unaeleza kuwa Dar es Salaam kwa mwezi zilikuwa zinavunjika ndoa 300.

"Tafiti zinasema ndoa zinavunjika kuanzia mwaka mmoja mpaka mitatu ndio maana mtu/watu wakifikisha miaka mitano katika ndoa wape hongera maana sio mchezo"

"Tafiti ya mwaka juzi ya Dar es Salaam ilikua unasema kwa mwezi zilikuwa zinavunjika ndoa 300, ina maana kwa siku ndoa 10 zinavunjika"
Tunaongoza 2-0
 
Tumefikia mahali pazuri mno:

Hii yote ni mataokeo ya harakati za watetezi wa jinsia.
1.Ndoa zinavunjika kabla ya kufungwa
2.Ustawi wa mashoga, hii ndio fasheni ya mjini kwa sasa.
3.Ongezeko la Watoto walio kosa malezi ya baba (Utukufu wa watoto ni baba zao!)
 
Wakuu

Daniel Marandu, Mhadhiri Msaidizi katika Idara ya Saikolojia ya Elimu, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akizungumza kwenye Kongamano la Mahusiano ya DADAZ kipindi cha EATV linalofanyika leo, Mbezi Garden Hotel amesema utafiti wa mwaka juzi unaeleza kuwa Dar es Salaam kwa mwezi zilikuwa zinavunjika ndoa 300.

"Tafiti zinasema ndoa zinavunjika kuanzia mwaka mmoja mpaka mitatu ndio maana mtu/watu wakifikisha miaka mitano katika ndoa wape hongera maana sio mchezo"

"Tafiti ya mwaka juzi ya Dar es Salaam ilikua unasema kwa mwezi zilikuwa zinavunjika ndoa 300, ina maana kwa siku ndoa 10 zinavunjika"
Kila mwezi Tanzania wanakufa watu 4000 lakini wanazaliwa elfu 30,000..............
Unaweza tutajia kila siku ama mwez zinafungwa ndoa ngapi vile?,
 
Hali inatisha mwanamke anataka ndoa akiwa na record zifuatazo

Body count - 30 Men
Abortion - 4 times
P2- Countless

Huyu akifikia kwenye retirement plan atatafuta simp wake ambaye atamfichia hizi record zake zote aingie kwenye ndoa na status mpya ( Mke wa mtu)
Haka kaujinga sifanyi mkuu.
 
Tatizo lipo kwa wanawake zaidi.
Kwa mujibu wa Muumbaji mwenye kuweza kuijenga na kuivunja ndoa ni mwanamke.
Kwa hiyo shida ipo kwa wanawake zaidi kutokuwa watii kwa wanaume zao badała yake kufanya mashindano, ubishi, ujeuri, kiburi n.k
 
Back
Top Bottom